Hell is real
JF-Expert Member
- Aug 14, 2021
- 204
- 364
Habari wakuu!! Mara nyingi wanadamu hatufanani, kitabia, kimtazamo, na hata kimawazo!! Hivyo usishandane na mtu ambaye tiyari ana hasira juu yako kwa maana anaweza kufanya limpendezalo kwako(Mhubiri 8:3 Usifanye haraka kutoka mbele ya uso wake; usiendelee kufanya lililo baya; maana yeye hufanya lo lote limpendezalo. Mhubiri 8:4 Kwa kuwa neno la mfalme lina nguvu; naye ni nani awezaye kumwambia huyo, Wafanya nini?)
Hivyo ukiona mkuu wako au boss wako amekuwa juu!! Wewe kuwa mpole hilo ndo jibu ambalo biblia inatuelekeza tufanye sio kujibizana
(
Mithali 15:1 Jawabu la upole hugeuza hasira;
Bali neno liumizalo huchochea ghadhabu. Mithali 15:2 Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri;
Bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu.)
Barikiwa sana wakuu
Hivyo ukiona mkuu wako au boss wako amekuwa juu!! Wewe kuwa mpole hilo ndo jibu ambalo biblia inatuelekeza tufanye sio kujibizana
(
Mithali 15:1 Jawabu la upole hugeuza hasira;
Bali neno liumizalo huchochea ghadhabu. Mithali 15:2 Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri;
Bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu.)
Barikiwa sana wakuu