KICHINJIO 15
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 823
- 631
Ni bora kuhamia kwako tu. Mi mwenyewe nitahamia kwangu vyumba viwili tu. Nitaanza kujenga nyumba ninayoitaka nikiwa kwangu takujenga nikiwa kwangu tayariNa ndio maana nimehamia kwangu vyumba 2, sebule, jiko na choo, kiwanja bwelele, kuku, migomba, nazi, mindimu, passion, mipapai, miwa n.k., hamia kwako, hata kuwe kibamba, mbezi, bunju, chanika, bagamoyo etc etc, usiku usingizi wa kufa mtu, usafiri poa tu, adapt..
Yaani toka ipande bei humu wanatunywesha chai bila sukari...Na hv sukari imefichwa jamaa wanakupa chai bila sukari
Hahaha yule hana tatizo anawaza tu helaHapana, na wewe twambie kwanza unavoishi na jirani yako atoto kisha ndo ukose cha kusema, teh
Asante The Boss...Unajua nimegundua everytime mwanaume unapofikiri 'unawajua' wanawake
basi kuna kitu still 'hukijui'
kwa kila mtu hii inatokea...
Mdada angependa tu shati angeuliza kanunua wapi
aende kununua na yeye
akiomba shati ulilovaa hiyo ni 'kitu kingine kabisa'...
Ni sawa na kumnunulia mdada gazeti akapokea na kumnunulia 'underwear' akapokea
vitu viwili tofauti ingawa vyote 'umemnunulia'
Yeah nimerudi mamii, za siku mingi aisee?oh! umerudi? Hi
Hivi hela zenyewe anapewaga kweli, usikute ni mwendo wa kukopwa tu, teh!!Hahaha yule hana tatizo anawaza tu hela
Nashindwa kumuelewa jirani yangu na ananifanya nisiwe comfortable.... Nyumba ninayoishi tupo watano kila mtu na kwake anaijtegemea wote ni vijana na hakuna mwenye familia. Tupo wadada wawili tu. Huyu dada jirani yangu alinikuta wakati akihamia hapo na mwanzoni alipata matatizo nikamsaidia kama kama ambavyo ningemsaidia binadamu yoyote. Aliumwa na hakuwa na ndugu karibu (kwao Shinyanga) hivyo nilimhudumia kwa ukarimu wote nilimpikia, na kumsaidia kufanya usafi hadi alipopata nafuu.
Baada ya kupona maisha yaliendelea japo hatukua na ukaribu zaidi ya salamu na mambo basic kama kushare bills. Kumbuka sisi ni vijana na pretty much ndio tumeanza kujitegema so hatujajiestablish kihiivyo...ila nimegundua huyu jirani yangu ni kama anawivu ama sijui ni kitu gani. Alipokuja kwangu kila alichokiona alitaka kujua ni menunua bei gani na vingine alidiriki kuniuliza umenunuliwa na mpenzi wako? Sikumbuki nilipotezeaje coz sionagi kama ni sawa ku disclose mambo yangu binafsi kwa mtu ambae sio wa karibu.
Ila naona ni kama tabia kila tukionana akiona nimebadilisha style atauliza umesuka bei gani, juzi kaniona na simu kaniuliza mbona hujanionyesha kitu kipya. yani hata nikinunua maybe kiblouse kipya lazima atauliza. Kinachonimaliza ni kwamba hata kama niko ndani napika ataongea from her room eeeeh jirani leo unapika samaki au leo unapika kitu flani? Hua namjibu kwa maneno machache tu.
Bottom line ni kwamba she makes me uncomfortable!!!!!!! Yani very uncomfortable!!!!! Akiona mpenzi wangu wangu yupo ndani atakuja kunigongea either aombe kitunguu au kibiriti.
Nisaidieni jirani wa hivi naishije nae?????
Hahahah ngoja nimuite atotooooooooooHivi hela zenyewe anapewaga kweli, usikute ni mwendo wa kukopwa tu, teh!!
Ila usimwambie nimeongea hivi aisee
Nashindwa kumuelewa jirani yangu na ananifanya nisiwe comfortable.... Nyumba ninayoishi tupo watano kila mtu na kwake anaijtegemea wote ni vijana na hakuna mwenye familia. Tupo wadada wawili tu. Huyu dada jirani yangu alinikuta wakati akihamia hapo na mwanzoni alipata matatizo nikamsaidia kama kama ambavyo ningemsaidia binadamu yoyote. Aliumwa na hakuwa na ndugu karibu (kwao Shinyanga) hivyo nilimhudumia kwa ukarimu wote nilimpikia, na kumsaidia kufanya usafi hadi alipopata nafuu.
Baada ya kupona maisha yaliendelea japo hatukua na ukaribu zaidi ya salamu na mambo basic kama kushare bills. Kumbuka sisi ni vijana na pretty much ndio tumeanza kujitegema so hatujajiestablish kihiivyo...ila nimegundua huyu jirani yangu ni kama anawivu ama sijui ni kitu gani. Alipokuja kwangu kila alichokiona alitaka kujua ni menunua bei gani na vingine alidiriki kuniuliza umenunuliwa na mpenzi wako? Sikumbuki nilipotezeaje coz sionagi kama ni sawa ku disclose mambo yangu binafsi kwa mtu ambae sio wa karibu.
Ila naona ni kama tabia kila tukionana akiona nimebadilisha style atauliza umesuka bei gani, juzi kaniona na simu kaniuliza mbona hujanionyesha kitu kipya. yani hata nikinunua maybe kiblouse kipya lazima atauliza. Kinachonimaliza ni kwamba hata kama niko ndani napika ataongea from her room eeeeh jirani leo unapika samaki au leo unapika kitu flani? Hua namjibu kwa maneno machache tu.
Bottom line ni kwamba she makes me uncomfortable!!!!!!! Yani very uncomfortable!!!!! Akiona mpenzi wangu wangu yupo ndani atakuja kunigongea either aombe kitunguu au kibiriti.
Nisaidieni jirani wa hivi naishije nae?????