Jirani yangu simuelewi

Jirani yangu simuelewi

huo mkataba mnatakiwa wote mridhie lakini si wewe umdanganye unampenda kumbe lengo lako ni kupunguza protin.. ukiona hakubali acahana nae tu

Hahahahahahahaha bwana bwana lakin why ikawa ivi
 
Sasa mtu alilala ulitaka aje na amevaa gauni la kitenge na lemba? Au ulitaka awe amevaa nguo za ofisini? Dada wa watu amekuletea funguo kwa amani tu wewe umeingizia hisia nyingine.
 
Sasa mtu alilala ulitaka aje na amevaa gauni la kitenge na lemba? Au ulitaka awe amevaa nguo za ofisini? Dada wa watu amekuletea funguo kwa amani tu wewe umeingizia hisia nyingine.

Wewe mwenyewe sio mgen sana ujue kuna chupi zakulalia mkuu
 
Kwan we ni bikra? Kama bado bikra ntakuelekeza 'step by step' juu ya nini cha kufanya!
 
Hapana mimi kupombeka haina maana sina akili zipo nyingi sana, huwa sisleck nikipombeka
Hakuna aliewah kuelewa akakubali kwamba anachokifanya ni sabab ya pombe mostly hujifanya wako ok na confident! Kwanza acha Pombe
 
Kwa hiyo unataka tushiriki kwenye dhambi yako unayo fikiria kufanya? Shiriki mwenyewe akibeba mimba usikimbie na ukikwea gonjwa wajibika pia. Usisahau kutuletea mrejesho

mkuu umeshauri kibabe sana
 
Hakuna aliewah kuelewa akakubali kwamba anachokifanya ni sabab ya pombe mostly hujifanya wako ok na confident! Kwanza acha Pombe

masanga ilikuwa jana leo ongea mengine mkuu
 
Hivu jirani huyo siku zote ulikuwa humuoni? Halafu kichwa cha habari umemsingizia. Ilibidi uandike wewe ndo hujielewi.
 
Wewe hasa unachotaka kwa huyo binti ni nini?maana yeye kashaeleka kibra,mawazo yako yanakutuma umuache au uzini naye?jua kuwa uzinzi ni dhambi

Nalijuwa hilo sana mkuu ndio maana niko hapa kupembua mbivu na mbichi
 
Hivu jirani huyo siku zote ulikuwa humuoni? Halafu kichwa cha habari umemsingizia. Ilibidi uandike wewe ndo hujielewi.

Mkuu hebu tulia kwanza uzi upo tu pata fundo la maji alaf soma kwa makin kabla hujaanza kuandika
 
Ndio we mshamba. Ndio nyie mdada aki-like picha yako au comment fb unajua kakuzimia. Mi nilidhani kakupa mitego gani sijui, kumbe vazi la usiku tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom