miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
nunua condom kwanza , halafu usimgongee kwake uwe unamgongea kwako .... ila uzinzi ni dhambi
acha bana jamaa ana mtrgo wa mademuHapo uliposema Ushamba ungepigia mstari ndo penyewe haswa. mwenzio alishaingia kulala ulitaka alale na jinzi?
Sawa mkuusio pombe
kama umedhamiria endelea.....ila sikushauriHilo ni tatizo akilin kwa sasa nikiangalia ni pua na mdomo
usijali wewe anagalia kama anafaa kwa mboga kula ila kuwa makini.. na kama una demu wako anakuja hapo haloo kama yupo kwa future achana na hii mboga pori kuna sumu nyingisi kweli madam chipi zingine vile imemkaa mtu ni full kulipuwa moyo na kuamsha hisia hatar hatar
Kwani umeona nini cha ajabu??Jamaa nimeanza pombe pengine kabla hujazaliwa, kama nimeweza drive barabara nzima sijaruka mashimo nashindwaje tambua kilicho mbele yangu ? hebu fikiria upya
usijali wewe anagalia kama anafaa kwa mboga kula ila kuwa makini.. na kama una demu wako anakuja hapo haloo kama yupo kwa future achana na hii mboga pori kuna sumu nyingi
ndyo unaweza ukitaka ..Ninachokitaka nikujuwa vipi naweza shindana na ushawish ulionikumba ghafla