Mkuu pua na mdomo unajuwa, ok nimkomeshe vipi
Kwahiyo upo flesh sahizi basi jitasmini ukamuimbishe lakini umuoe siyo kumchezea mtoto wawatu na kama unaletaga mademu nyumbani na ukiwa na huyo utafanyaje kesi hiyo babahahahahahahah mkuu unakosea pombe nimetumia mwaka wa 30 huu haiwez nipeleka unavyohis
Kwahiyo upo flesh sahizi basi jitasmini ukamuimbishe lakini umuoe siyo kumchezea mtoto wawatu na kama unaletaga mademu nyumbani na ukiwa na huyo utafanyaje kesi hiyo baba
Nilitaka kukushauri ila ngoja nikuache pombe ikutoke kwanza maana akili za mlevi anazijua mlevi mwenyewe unaweza ukadhani unategwa kumbe dada wa watu hata habari hana
Basi umekolea kama ni somo umelielewa ndoa hiyo mkuuHili ni jarib la mwaka, niko fresh hata sehem yatukio sio kwamba nlikuwa tilalila no, Mchezo wote umekuwa recorded na kibaya umekuwa saved kwa coding maana naona anakatiza akilin mpaka bas