Jirani yangu ananigongea mlango usiku

Mchana anatembea kama 'Lokole' halafu ataki kugongewa usiku

!

!
Jamaa mchicha, watu wanataka kuserereka
 
Angesema" oyaaaa" Mimi fulani. Alikuwa na lake jambo, au ni mwanga??
 
Umefanya vzr sana kama angekua na shida ya maana angegonfa huku anaiti kama anataka kukutoa kafala je
Si ndiyo apo, Afu wengine wanafikiri kufungua mlango usiku ni kirahis rahisi hivyo..
 
Yaaani ni Rahisi kuwaumiz watu JF kuliko kumuuliza jiran Yako alikuwa anataka nini. Mnajaza to server
Kwanini kuna majukwaa tofauti tofauti humu JF?
Hatujazi server..bali ni sehemu ya jamii
 
Sasa kama hajui akivuliwa chupi maana yake nini? siyo kila mdada wa kulala nae kisa wewe kidume.
Sasa ndo mtu aseme afanye nini.? Ukiona mwanamke anakuvulia chupi maana yake ameona kuna nafasi hy.
 
Si ndiyo apo, Afu wengine wanafikiri kufungua mlango usiku ni kirahis rahisi hivyo..
Harafu akarudi kimya kimya mpaka kwenye chumba chake na kufungua mlango taraatibu huku ukimsikia ukute alikua na jambo lake na kama anashida na wewe bac atakufata mchana huu au jioni
 
Kuna wimbo mmoja una mistarii "Unapopatwa na shida kubwa usiku wa manane, jirani yako ndiye wa kwanza kukusaidia"
"Mimi na wewe ni kitu kimoja, haina maana ooh oooh haina maana kunyimana"
"Sisi sote ni majirani, haina maana kunyimana"
๐ŸŽถ๐ŸŽถ๐ŸŽถ๐ŸŽถ
Natumaini umenielewa mkuu. Huyo ni jirani mwema sana. Na tumehimizwa mpende jirani yako kama unavyojipenda.
 
Shida ni kwamba majiran zetu hawa hawa wengine ndio chanzo cha matatizo sasa ye si angegonga na kuita taraatibu ili mtu ajue ni nani sasa unagonga kimya kimya kama wapiga nondo buana
 
Kwahiyo tukusaidiaje? kama jirani yako umeshindwa kumuuliza,huku JF tutajuaje shida ya huyo jirani yako?
 
Shida ni kwamba majiran zetu hawa hawa wengine ndio chanzo cha matatizo sasa ye si angegonga na kuita taraatibu ili mtu ajue ni nani sasa unagonga kimya kimya kama wapiga nondo buana
Ungongaji mlango tunatofautiana sana, kuna wengine ni kawaida yao kugonga kwa kishindo kikubwa.
Umenikumbusha kuna jamaa mmoja alikuwa jirani yangu, kuna kipindi alikuwa akigonga mlango, mpaka unaweza kuhisi ni watu wasiojulikana wamekuja kutoa roho yako.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 

Wanaume kweli tumebaki wachache sana.

Haya yalinikuta na mtoto mmoja wa kihaya kipindi naishi Sinza, usiku mnene mtoto alijileta mwenyewe mlangoni.

Moto aliopoelekewa siyo ya nchi hii.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ