Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,122
- 52,872
- Thread starter
- #21
Yaani jamaa kila siku ana kitu kipyaMke mvuta bangi basi kazoea kukwanguliwa kwa nguvu ndo maana anamdharau mumewe
Na jamaa ili kuonyesha ana uwezo kuliko dharau za mke ndo kaamua kuleta michepuko ya kila aina kukomesha dharau