Jirani yangu ana kibamia Ila ana michepuko

Jirani yangu ana kibamia Ila ana michepuko

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
28,122
Reaction score
52,872
Kuna Jirani yangu bwana mke wake ni Rafiki yangu kiaina.ndoa yake ina mizozo sana.mizozo hyo imesababisha mama aondoke kwasababu hakitulizi .mume nae michepuko.
Siku moja nikamuuliza mke si ukitulize tu una mume ndani? Akaniambia miss n huyu mume akiingia tu dakika nyingi keshamaliza. Mimi hapa nilishazoea ex wangu na Mimi tulikuwa tunavuta bange ndo tunaingia bed .yaani hapo dakika tisini ndo itaamua goli lipatikane hata kwa penalty au dakika za nyongeza.
Heee nikashangaa dkk tisini me mwenyewe kuku tu.

Lengo la umbea huu ni kwamba huyu bwana wa dakika robo kila siku namuona na mchepuko mpya .najiuliza? Anawafanya nini?
 
Kuna Jirani yangu bwana mke wake ni Rafiki yangu kiaina.ndoa yake ina mizozo sana.mizozo hyo imesababisha mama aondoke kwasababu hakitulizi .mume nae michepuko.
Siku moja nikamuuliza mke si ukitulize tu una mume ndani? Akaniambia miss n huyu mume akiingia tu dakika nyingi keshamaliza. Mimi hapa nilishazoea ex wangu na Mimi tulikuwa tunavuta bange ndo tunaingia bed .yaani hapo dakika tisini ndo itaamua goli lipatikane hata kwa penalty au dakika za nyongeza.
Heee nikashangaa dkk tisini me mwenyewe kuku tu.

Lengo la umbea huu ni kwamba huyu bwana wa dakika robo kila siku namuona na mchepuko mpya .najiuliza? Anawafanya nini?
Mpe uone nini huwa anawafanya?.
 
Si kila mwanaume anakuwa kuku kwa kila mwanamke
Kuna mwanamke ukiwa nae utaenda moja tu tena dk5
Kuna mwanamke ukienda nae utaenda nae moja dk45
Kuna mwanamke utaenda bao zaid ya 4 kila bao na mda wake, kwa ujumla zaid ya masaa3

Sitaki kuingilia ndoa yao ila kuna mambo mengi katika ndoa, mwenyewe nikianza kufikilia hayo yote huwa najiuliza kama niko tayar kuoa
 
Kuna Jirani yangu bwana mke wake ni Rafiki yangu kiaina.ndoa yake ina mizozo sana.mizozo hyo imesababisha mama aondoke kwasababu hakitulizi .mume nae michepuko.
Siku moja nikamuuliza mke si ukitulize tu una mume ndani? Akaniambia miss n huyu mume akiingia tu dakika nyingi keshamaliza. Mimi hapa nilishazoea ex wangu na Mimi tulikuwa tunavuta bange ndo tunaingia bed .yaani hapo dakika tisini ndo itaamua goli lipatikane hata kwa penalty au dakika za nyongeza.
Heee nikashangaa dkk tisini me mwenyewe kuku tu.

Lengo la umbea huu ni kwamba huyu bwana wa dakika robo kila siku namuona na mchepuko mpya .najiuliza? Anawafanya nini?
Sasa hebu fanya kitu kimoja,wewe watafute hao michepuko uwaulize hayo uloambiwa na shoga ako ili story yako iwe sawa.
 
Si kila mwanaume anakuwa kuku kwa kila mwanamke
Kuna mwanamke ukiwa nae utaenda moja tu tena dk5
Kuna mwanamke ukienda nae utaenda nae moja dk45
Kuna mwanamke utaenda bao zaid ya 4 kila bao na mda wake, kwa ujumla zaid ya masaa3

Sitaki kuingilia ndoa yao ila kuna mambo mengi katika ndoa, mwenyewe nikianza kufikilia hayo yote huwa najiuliza kama niko tayar kuoa
Kumbe
 
Si kila mwanaume anakuwa kuku kwa kila mwanamke
Kuna mwanamke ukiwa nae utaenda moja tu tena dk5
Kuna mwanamke ukienda nae utaenda nae moja dk45
Kuna mwanamke utaenda bao zaid ya 4 kila bao na mda wake, kwa ujumla zaid ya masaa3

Sitaki kuingilia ndoa yao ila kuna mambo mengi katika ndoa, mwenyewe nikianza kufikilia hayo yote huwa najiuliza kama niko tayar kuoa
Una point....
 
Kuna Jirani yangu bwana mke wake ni Rafiki yangu kiaina.ndoa yake ina mizozo sana.mizozo hyo imesababisha mama aondoke kwasababu hakitulizi .mume nae michepuko.
Siku moja nikamuuliza mke si ukitulize tu una mume ndani? Akaniambia miss n huyu mume akiingia tu dakika nyingi keshamaliza. Mimi hapa nilishazoea ex wangu na Mimi tulikuwa tunavuta bange ndo tunaingia bed .yaani hapo dakika tisini ndo itaamua goli lipatikane hata kwa penalty au dakika za nyongeza.
Heee nikashangaa dkk tisini me mwenyewe kuku tu.

Lengo la umbea huu ni kwamba huyu bwana wa dakika robo kila siku namuona na mchepuko mpya .najiuliza? Anawafanya nini?
Hana hisia na mkewe,anagonga huku anavutia hisia kwa mchepuko ndomana robo dak kamaliza,ila kwa mchepuko atakua anasimamia mpk kucha
 
Mke mvuta bangi basi kazoea kukwanguliwa kwa nguvu ndo maana anamdharau mumewe

Na jamaa ili kuonyesha ana uwezo kuliko dharau za mke ndo kaamua kuleta michepuko ya kila aina kukomesha dharau
 
Back
Top Bottom