Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,122
- 52,872
Kuna Jirani yangu bwana mke wake ni Rafiki yangu kiaina.ndoa yake ina mizozo sana.mizozo hyo imesababisha mama aondoke kwasababu hakitulizi .mume nae michepuko.
Siku moja nikamuuliza mke si ukitulize tu una mume ndani? Akaniambia miss n huyu mume akiingia tu dakika nyingi keshamaliza. Mimi hapa nilishazoea ex wangu na Mimi tulikuwa tunavuta bange ndo tunaingia bed .yaani hapo dakika tisini ndo itaamua goli lipatikane hata kwa penalty au dakika za nyongeza.
Heee nikashangaa dkk tisini me mwenyewe kuku tu.
Lengo la umbea huu ni kwamba huyu bwana wa dakika robo kila siku namuona na mchepuko mpya .najiuliza? Anawafanya nini?
Siku moja nikamuuliza mke si ukitulize tu una mume ndani? Akaniambia miss n huyu mume akiingia tu dakika nyingi keshamaliza. Mimi hapa nilishazoea ex wangu na Mimi tulikuwa tunavuta bange ndo tunaingia bed .yaani hapo dakika tisini ndo itaamua goli lipatikane hata kwa penalty au dakika za nyongeza.
Heee nikashangaa dkk tisini me mwenyewe kuku tu.
Lengo la umbea huu ni kwamba huyu bwana wa dakika robo kila siku namuona na mchepuko mpya .najiuliza? Anawafanya nini?