puker
JF-Expert Member
- Nov 22, 2018
- 941
- 1,847
Habari za muda huu wana JF.
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza.
Kuna jirani yangu naishi nae compound moja, kuna siku alitaka kuangalia kitu fulani kupitia simu yangu, kupitia Internet ila kwa bahati mbaya kifurushi cha data kilikuwa kimeisha.
Basi akaniambia nisijali, akafungua Hotspot kupitia simu yake..ili tushee Wi-Fi aweze kupata alichokuwa akihitaji.
Sasa kama Mjuavyo kama mtu alijuunganisha kama hajapadili password kila akiwasha hotspot kama simu yako ipo karibu ina funguka automatic
Kakawa kamchezo kangu nikirudi nyumban ka WiFi kaki funguka hata kama nina bando natumia bundle lake
Kilichonishangaza na kuniumiza kichwa huyu manzi anawekaga bando la kiasi gani? Nilivyo katili huwa nakuwa YouTube kucheck mavideo. Sasa weekend siku ambazo napumzka gheto, ndio nilipagawaga nacheck mavideo since morning mpk simu ikakata charge lakini ngoma haikatiki aona haitoshi kwa sababu Password yake alinitajia na ni rahisi, nahamia kwa Laptop yani mpaka najisahau nahisi naangalia TV
Nikaanza kamchezo cha Ku download movie's usiku nikiwa nataka kulala ili nione pumzika yake heeee nilianza 2, asubuhi nakuta zimemaliza na ngoma bado ipo online
Juzi ndio balaa kabisa nime select movies 10 nazote zimemaliza tena zenye resolution kubwa 1080HD
Sasa nataman kumuuliza jirani huyu...ni kaujanza gani huwa Anafanya? Au hilo bando ananunulia wapi na mm nikanunue?
Hazimagi data, ila naogopa asije akabadili password nikakosa utelez wa ganda la ndizi. Yan now nikifika home nikamkosa nasononeka kinyama
Wadau hivi hii ishu imekaaje? Usikute jirani anakamtambo kake ndani? Na speed ya mtandao ni 4G non stop?
Ushauri wenu wadau
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza.
Kuna jirani yangu naishi nae compound moja, kuna siku alitaka kuangalia kitu fulani kupitia simu yangu, kupitia Internet ila kwa bahati mbaya kifurushi cha data kilikuwa kimeisha.
Basi akaniambia nisijali, akafungua Hotspot kupitia simu yake..ili tushee Wi-Fi aweze kupata alichokuwa akihitaji.
Sasa kama Mjuavyo kama mtu alijuunganisha kama hajapadili password kila akiwasha hotspot kama simu yako ipo karibu ina funguka automatic
Kakawa kamchezo kangu nikirudi nyumban ka WiFi kaki funguka hata kama nina bando natumia bundle lake
Kilichonishangaza na kuniumiza kichwa huyu manzi anawekaga bando la kiasi gani? Nilivyo katili huwa nakuwa YouTube kucheck mavideo. Sasa weekend siku ambazo napumzka gheto, ndio nilipagawaga nacheck mavideo since morning mpk simu ikakata charge lakini ngoma haikatiki aona haitoshi kwa sababu Password yake alinitajia na ni rahisi, nahamia kwa Laptop yani mpaka najisahau nahisi naangalia TV
Nikaanza kamchezo cha Ku download movie's usiku nikiwa nataka kulala ili nione pumzika yake heeee nilianza 2, asubuhi nakuta zimemaliza na ngoma bado ipo online
Juzi ndio balaa kabisa nime select movies 10 nazote zimemaliza tena zenye resolution kubwa 1080HD
Sasa nataman kumuuliza jirani huyu...ni kaujanza gani huwa Anafanya? Au hilo bando ananunulia wapi na mm nikanunue?
Hazimagi data, ila naogopa asije akabadili password nikakosa utelez wa ganda la ndizi. Yan now nikifika home nikamkosa nasononeka kinyama
Wadau hivi hii ishu imekaaje? Usikute jirani anakamtambo kake ndani? Na speed ya mtandao ni 4G non stop?
Ushauri wenu wadau