Jipu lingine: Kodi kwa anayepokea hela kwa njia ya simu (double taxation ) sijui tuiiteje!

Na hapi ndipo Rais Magufuli alipowakamata ndo maana wanatapatapa...Serikali ilikuwa inapata Kodi kwa ANAYETUMA PESA TU (Swali hapo ni Hiyo 18% alikuwa anatozwa mlaji au kampuni???? )
Lakini yule anayepokea pea iliyokuwa inakatwa na Kampuni ilikuwa haikatwi Kodi. ...Kwa sasa wamebanwa kotekote
Halafu UKAWA wanajifanya kutumia mitandao wakiwemo hawa akina G sam kupotosha!!!!! Haya yana mwisho tunaelewa vizuri sana lengo la Serikali. ..ni suala la muda tu mtajiona wajinga tena weupeeee. ..subilini tu
Sasa hapo nani kabanwa?
 
Da!!!! Yani anajuuuta sana kupost hii thread....tatizo lao wanatumika sana kijingajinga
Lengo lao ionekane eti kwa kuwa walizila bungeni basi eti bajet iliyopitishwa haifai????? Ni upuuzi kweli yani...waache kutumika kama toilet paper ona sasa anavyoonekana Mburula!!!!! What a shame! !!!!!
Undugu sio kufanana ni kufaana, wacha tushiriki tu wote
 
Kweli upinza unawamezesha watu vibaya kuhusu hiyo VAT,ebu rejea taarifa ya habari ya saa mbili usiku channel itv
Wananchi tunaelewa kingine, TRA wanaeleza kingine, Bank za biashara na BOT wanaeleza kitu kingine, mwisho wa siku wananchi tunabaki hatuna cha kufanya. Tulio watuma ndio wametekeleza hivyo
 
Kitu ambacho wanashangaza Upinzan ni kuwa HIVI HII KODI JUU YA MIAMALA YA FEDHA IMEANZA LEO KWNY BAJETI HII??,,, JIBU NI KUWA HATA BAJETI YA MWAKA JANA VAT ILIKUWEPO ILA ILIKUWA INAKATWA KWNY KAMPUNI UPANDE MMOJA TU KWA YULE ANAYETUMA PESA...LKN KWA SASA INAKATWA KOTE HATA UPANDE WA KUTOA...MBONA MWAKA JANA UZUSHI HUU HAUKUWEPO?????? Kwan ile VAT alikuwa anakatwa Mlaji (mtuma pesa ????) Ilikuwa inatozwa jw ile pesa ya makato ya kampuni ya kutumia pesa. ...
Yan ukweli ni kwamba Uzushi huu ulioanzia kwa Zito kabwe lengo kuu ni kuleta sintofaham kwny jamii ionekane Upinzani uliposusia bunge basi bajeti ilutopitishwa haifai ina mapungufu mengi kitu ambacho si kweli
Lkn haya yana mwisho Uzushi huu una mwisho tu
Bajeti mbona nzuri kwa 100% hata mkanganyiko huu kati ya BOT na TRA sio wa msingi
 
Sorry mkuu sikuweza kukujibu mapema ni TBCCM (TBC1 na radio) walikuwa na mahojiano na makamishina kodi, kwa ufupi wamekubaliana na kinaenda kufanywa namabenki na kampuni za simu. Hii ni kodi ya mlaji.

Watu pia wanapiga simu, kinarushwa live.

Kituo gani mkuu kimetoa hii taarifa ili nifuatulie marudio ya hiyo taarifa ya habari?
 
Alafu hivi finance bill iliyopitishwa na bunge ilikuwa na kipengele kinachoelekeza moja kwa moja kuwa hiyo VAT yatozwe mabenki na siyo mteja?

Kwa definition halisi ya VAT sheria hii itakuwa sahihi kutumika?

Finance bill ipo clear, ni kodi ya mlaji, mabenki ni wakusanyaji tu.

Kwa mfano ulikuwa ukienda benki kutoa hela ATM, kila muamala kwenye ATM unakatwa 1,000. Sasa mabenki yatakukata na VAT18% ya hiyo 1,000 na itakuwa 1,180. Hiyo 180 kila unapoenda kutoa pesa ndo VAT. Wao benki hela yao 1,000 itabaki kama ilivyo.

Sasa mkanganyiko alotaka kuuleta Kidata Kamishna mkuu TRA ni huu. Alitaka mabenki yalipe hiyo 18% toka kwenye ile 1,000 kwa maana nyingine mabenki yamlipie mteja kodi.

Gavana Ndulu wa BOT alikataa, na alikuwa sahihi, na usiku huu kamishina wa kodi za ndani kafafanua vizuri tu, na kakubaliana na BoT
 
G Sam hebu soma tena ulichoandika, maana naona ndo umeleta mkanganyiko zaidi kushinda hata uliopo. Kwa ufupi haujui kwamba haujui na hili ndio tatizo la waTZ tulio wengi. Kila kitu tunakifahamu.

Huyo anajua kila kitu. Hapo anaweza kukuchambulia udhaifu na mapungufu ya ndege ya Airbus A380 na kukwambia manufacturer alichemka kuunda ndege hiyo.
 
Mshahara unakatwa kodi,unapelekwa benki,ukienda kuuchukua unakatwa kodi, kama umezoea kuchukua elfu hamsini hamsini au ishirini ishirini,kila ukienda unalimwa asilimia 18.

Ukituma mpesa unakatwa asilimia 18,unayemtumia akitoa anakatwa asilimia 18,kahela kale kale unakomtumia mama kijijini akanunue jembe kanapigwa huku na kule
Aisee! Kaizari atanenepa sana.
Namba inasomeka 18, 18, 18 kuelekea kuishi maisha ya "kifalme na kimalkia"

Hii 18, 18 wataikusanya kidigito au ki-analogue?

Hii ni sawa kuingia uwanjani kuangalia mechi baina ya simba na yanga, ukiingia uwanjani unalipa na maajabu ukitaka kutoka pia unalipa tena. Wamejiridhisha kwamba wadanganyika wanatumbulika! Wanatumbua bila ganzi. Punda afe mzigo wa Ngosha ufike.

Kondoo wana majipu,.......
 
Finance bill ipo clear, ni kodi ya mlaji, mabenki ni wakusanyaji tu.

Kwa mfano ulikuwa ukienda benki kutoa hela ATM, kila muamala kwenye ATM unakatwa 1,000. Sasa mabenki yatakukata na VAT18% ya hiyo 1,000 na itakuwa 1,180. Hiyo 180 kila unapoenda kutoa pesa ndo VAT. Wao benki hela yao 1,000 itabaki kama ilivyo.

Sasa mkanganyiko alotaka kuuleta Kidata Kamishna mkuu TRA ni huu. Alitaka mabenki yalipe hiyo 18% toka kwenye ile 1,000 kwa maana nyingine mabenki yamlipie mteja kodi.

Gavana Ndulu wa BOT alikataa, na alikuwa sahihi, na usiku huu kamishina wa kodi za ndani kafafanua vizuri tu, na kakubaliana na BoT
Wale waliosema kodi hii haitamgusa au kumuumiza mlaji waliongopa?

Hivi ni nani walisema hii kodi ya 18% haimhusu mlaji, mtumiaji?

Link http://www.ippmedia.com/sw/habari/maumivu-18-miamala-benki

Link2. Kodi ya miamala Tigopesa, M-Pesa kuanza rasmi leo

Hapa mtaona ni kwa nini Dr. Tulia aliwatuliza (aliwafunga mdomo) wadadidisi wa mambo bungeni.
 
Mimi nilichokishuhudia mwenyewe ni kwamba, ukitumiwa hela unakatwa pale pale ilipoingia, na ukienda kutoa wanafyeka nyingine tena.

Kwa kifupi ni kwamba kuna tozo imeongezeka. Bahati mbaya nimefuta sms ila ilinichukua dakika kadhaa kuelewa kinachoendelea
 
Rafiki yangu punguza mashambulizi yasio na tija kabla haujapoteza mwelekeo.

Mkuu, umetumiwa pesa siku mbili tatu hizi? Utashuhudia maajabu na bila shaka utaungana kupiga haya makelele. Kuna mzigo mpya wanakata tofauti na tulivyokuwa tumezoea
 
Kitu ambacho wanashangaza Upinzan ni kuwa HIVI HII KODI JUU YA MIAMALA YA FEDHA IMEANZA LEO KWNY BAJETI HII??,,, JIBU NI KUWA HATA BAJETI YA MWAKA JANA VAT ILIKUWEPO ILA ILIKUWA INAKATWA KWNY KAMPUNI UPANDE MMOJA TU KWA YULE ANAYETUMA PESA...LKN KWA SASA INAKATWA KOTE HATA UPANDE WA KUTOA...MBONA MWAKA JANA UZUSHI HUU HAUKUWEPO?????? Kwan ile VAT alikuwa anakatwa Mlaji (mtuma pesa ????) Ilikuwa inatozwa jw ile pesa ya makato ya kampuni ya kutumia pesa. ...
Yan ukweli ni kwamba Uzushi huu ulioanzia kwa Zito kabwe lengo kuu ni kuleta sintofaham kwny jamii ionekane Upinzani uliposusia bunge basi bajeti ilutopitishwa haifai ina mapungufu mengi kitu ambacho si kweli
Lkn haya yana mwisho Uzushi huu una mwisho tu

Mkuu, vuta subira, ni kweli ipo sindano mpya kabisa imeingia mjini.

Kabla ya bajeti mpya ilikuwa kama unatuma pesa, unauliza "mpokeaji atakatwa bei gani" ili uongeze apokee kamili, hiyo inafahamika. Hivi sasa mkuu, hela ikiingia tu kwa mpokeaji wanakata kwanza kiasi cha kutosha tu, na akienda kutoa wanakata tena. Upo hapo?
 
Mkuu inachosha na kukera kurudia rudia kitu kilekile, halafu mtu anaanzisha uzi wa kupotosha.

Poa mkuu, nimeamua kuelezea kidogo baada ya kuona uko interested kujua uhalisia na si ushabiki.

Mkuu, hapa wananchi wa kawaida tutaisoma namba.

Ila mkuu Bill, inawezekana hujakutana na haka kamziki kapya, ukipokea tu pesa kwenye simu wanakata ile uliyopokea kabla hata hujaenda kutoa. Anachosema G Sam ni kweli japo sijui kama hiyo term double taxation ni mahali pake hapo
 
Na hapi ndipo Rais Magufuli alipowakamata ndo maana wanatapatapa...Serikali ilikuwa inapata Kodi kwa ANAYETUMA PESA TU (Swali hapo ni Hiyo 18% alikuwa anatozwa mlaji au kampuni???? )
Lakini yule anayepokea pea iliyokuwa inakatwa na Kampuni ilikuwa haikatwi Kodi. ...Kwa sasa wamebanwa kotekote
Halafu UKAWA wanajifanya kutumia mitandao wakiwemo hawa akina G sam kupotosha!!!!! Haya yana mwisho tunaelewa vizuri sana lengo la Serikali. ..ni suala la muda tu mtajiona wajinga tena weupeeee. ..subilini tu
Na makato ya kupokea yalikuwa makubwa kuliko ya kutuma mfono kutuma tsh20000 ni tsh 200 kutoa tsh 1200 kwahiyo tsh 20000 iliutume naimfike mhusika ilikuwa inagalimu tsh 2400 serikali ilipata 18℅ tuu ya tsh 200 ambayo in tsh 36 compuni anachukua zote hizo tsh 2364 wao ukawa hawakuona kuwa compuni ziliibi serikali!!!
 
Wahi kwa mamvi akupe vidonge huelewi maana ya "double taxation" siyo neno kama lilivyo neno ukawa, hii ni "term" iliyobeba maana inayojulikana Kimataifa. Kwani ukituma pesa, gharama za kutuma na kutoa ni sawa? Ukienda kununua kitu dukani, unadhani huyo wa dukani huko alikonunua hakutozwa kodi? Sasa hiyo haiitwi double taxation, dt ni term nyingine kabisa.
Pote duniani anayetuma hela ndiye analipa gharama mpokeaji yeye anachukua pesa yote iliyotumwa. Aliyepokea hela anapokwenda kuzitumia ndio Anakutana na kodi. Mchanganyiko ni mkubwa sana kiasi kwamba ninashindwa kuelewa hawa madokta walioandaa hii budget hawakuwa na uweledi hata wa kulitambua hili! We are finished
 
Ni sahihi ila mambo mengine kama ukitumia neno"unashindwa kuelewa" basi usiwe unatoa jibu la moja kwa moja kuwa double taxation. ..maana kumbe wewe binafsi ndiye hujaelewa!!!! Ungeomba au kutumia neno "kufahamishwa"kabla huja conclude hivyo

Sasa jiulize hivi"" ukituma pesa let's say m.pesa...kwa mtu fulani
(1) we mtumaji Kampuni inakukata pesa ya kutuma???? Naamini jibu ni ndiyo
(2) yule unaye mtumia akitoa hiyo pesa toka m pesa je anakatwa tena pesa???? Naamini unafaham jibu ni ndiyo
SWALI:- UNAMAANISHA KAMPUNI YA M PESA NAYO INATOZA MARA MBILI KWA PESA ILEILE???? (Double Taxation kwa maana yako????)
My take:- najua mojawapo ya makubaliano ya UKAWA baada ya Bunge kusitishwa ni KUTUMIA MITANDAO KADRI WAWEZAVYO KUONYESHA KAMA MKANGANYIKO KWA WANANCHI IONEKANE WAO NI MUHIMU SANA!!!! NA KWAMBA KUTOKUWEMO BUNGENI (Kwa sababu ya upuuzi wao tu) BAS BAJETI ILIYOPITA INA MAKOSA MEEENGI SANA!!!!
Lkn mnajidanganya sana!!!! Mnatumika sana ninyi mwishowe mtapuuzwa tu
Pamoja na kwamba hapa Bongo neno UPINZANI maana yake ni PINGA KILA KITU MBELE YAKO. .LKN MUDA MWINGINE HATA WATOTO MLIOWAZAA WANAJUTA KUPATA MZAZI AITWAYE MPINZANI MMECHOKWA SANA!!!@...

DOUBLE TAXATION Maana yake ni mtu mmoja kulipishwa mara mbili
Lkn hiyo ni transaction mbili kwa watu WAWILI TOFAUTI. ..Ni kama biashara...NDO MAANA KAMPUNI M PESA INAKATA KWA ANAYETUMA NA ANAYEPOKEA SI DOUBLE TAXATION. .The same apply kwa Serikali..ni tozo kwa anayetuma na kupokea..SIYO DOUBLE TAXATION. ..Please be informed !!!!!!!!
Buku7
 
Ni sahihi ila mambo mengine kama ukitumia neno"unashindwa kuelewa" basi usiwe unatoa jibu la moja kwa moja kuwa double taxation. ..maana kumbe wewe binafsi ndiye hujaelewa!!!! Ungeomba au kutumia neno "kufahamishwa"kabla huja conclude hivyo

Sasa jiulize hivi"" ukituma pesa let's say m.pesa...kwa mtu fulani
(1) we mtumaji Kampuni inakukata pesa ya kutuma???? Naamini jibu ni ndiyo
(2) yule unaye mtumia akitoa hiyo pesa toka m pesa je anakatwa tena pesa???? Naamini unafaham jibu ni ndiyo
SWALI:- UNAMAANISHA KAMPUNI YA M PESA NAYO INATOZA MARA MBILI KWA PESA ILEILE???? (Double Taxation kwa maana yako????)
My take:- najua mojawapo ya makubaliano ya UKAWA baada ya Bunge kusitishwa ni KUTUMIA MITANDAO KADRI WAWEZAVYO KUONYESHA KAMA MKANGANYIKO KWA WANANCHI IONEKANE WAO NI MUHIMU SANA!!!! NA KWAMBA KUTOKUWEMO BUNGENI (Kwa sababu ya upuuzi wao tu) BAS BAJETI ILIYOPITA INA MAKOSA MEEENGI SANA!!!!
Lkn mnajidanganya sana!!!! Mnatumika sana ninyi mwishowe mtapuuzwa tu
Pamoja na kwamba hapa Bongo neno UPINZANI maana yake ni PINGA KILA KITU MBELE YAKO. .LKN MUDA MWINGINE HATA WATOTO MLIOWAZAA WANAJUTA KUPATA MZAZI AITWAYE MPINZANI MMECHOKWA SANA!!!@...

DOUBLE TAXATION Maana yake ni mtu mmoja kulipishwa mara mbili
Lkn hiyo ni transaction mbili kwa watu WAWILI TOFAUTI. ..Ni kama biashara...NDO MAANA KAMPUNI M PESA INAKATA KWA ANAYETUMA NA ANAYEPOKEA SI DOUBLE TAXATION. .The same apply kwa Serikali..ni tozo kwa anayetuma na kupokea..SIYO DOUBLE TAXATION. ..Please be informed !!!!!!!!
Hotuba ndeeefu utumbo mtupu.Sasa hiyo hela iliyokatwa si ndo ile ile?
 
Pote duniani anayetuma hela ndiye analipa gharama mpokeaji yeye anachukua pesa yote iliyotumwa. Aliyepokea hela anapokwenda kuzitumia ndio Anakutana na kodi. Mchanganyiko ni mkubwa sana kiasi kwamba ninashindwa kuelewa hawa madokta walioandaa hii budget hawakuwa na uweledi hata wa kulitambua hili! We are finished
kwahiyo ukiwa Marekani ukimtumia hela mtu aliyepo Dsm kupitia Exim Bank, kwamba wewe huko Marekani Exim watakukata ghaqgama za kutuma na gharama za yule anayeenda kutoa kule Dsm ili wa Dsm atakapotoa kwenye akaunt yake asikatwe? Western Union ndo unaweza ukafanya hivyo ila siyo kwa bank wala simu kwasababu watu wanakuwa na akaunt binafsi.
 
Wahi kwa mamvi akupe vidonge huelewi maana ya "double taxation" siyo neno kama lilivyo neno ukawa, hii ni "term" iliyobeba maana inayojulikana Kimataifa. Kwani ukituma pesa, gharama za kutuma na kutoa ni sawa? Ukienda kununua kitu dukani, unadhani huyo wa dukani huko alikonunua hakutozwa kodi? Sasa hiyo haiitwi double taxation, dt ni term nyingine kabisa.
We nawe ndio umekuja kuvuruga kabisa hata hueleweki
 
Back
Top Bottom