Kitwanga ungeanza kwa kujiuliza unapokunywa bia unalipa double au triple taxation? Lazima tulipe kodi bila kuoneana aibu, nchi inahitaji maendeleo

Mwanamakunda

Member
Apr 1, 2021
19
91
Walevi kama kitwanga huwa hawaoni uchungu kulipa Double au triple taxation au zaidi ya hapo wanapokunywa pombe?

Anaandika Erasmos Kwayu,

Jana ameibuka waziri aliewahi kutimuliwa wizarani kutokana na ulevi wa kupindukia, Ndugu kitwanga, bila kuona haya anaisimanga serikali juu ya utozaji wa kodi, akidai huduma moja inatozwa double taxation.

Mimi najiuliza hivi ulevi wa kitwanga na walevi wengine mbona huwa hawalalamiki kulipa double au triple taxation? Kwani hiyo huwa haiwaumizi? Au haya malalamiko ya sasa yana ajenga iliyojificha? Au ni chuki dhidi ya Awamu ya sita? Mnataka kukwamisha utendakazi bora wa awamu ya sita?

Kila mtu lazima alipe kodi halali iliyotungwa na kupitishwa na wawakilishi wa wananchi. Wengine tunawajua ni hulka yenu kupinga kila kitu, wengine speculation za 2030 zinawaendesha, wengine, mnatamani mkae pale wizara ya fedha ili muibe baada ya madeal yenu kupigwa stop, wengine ni chuki na roho mbaya.

Lipa Kodi kwa maslahi ya nchi, acha porojo na mipasho.
 
Walevi kama kitwanga huwa hawaoni uchungu kulipa Double au triple taxation au zaidi ya hapo wanapokunywa pombe?

Anaandika Erasmos Kwayu,

Jana ameibuka waziri aliewahi kutimuliwa wizarani kutokana na ulevi wa kupindukia, Ndugu kitwanga, bila kuona haya anaisimanga serikali juu ya utozaji wa kodi, akidai huduma moja inatozwa double taxation.

Mimi najiuliza hivi ulevi wa kitwanga na walevi wengine mbona huwa hawalalamiki kulipa double au triple taxation? Kwani hiyo huwa haiwaumizi? Au haya malalamiko ya sasa yana ajenga iliyojificha? Au ni chuki dhidi ya Awamu ya sita? Mnataka kukwamisha utendakazi bora wa awamu ya sita?

Kila mtu lazima alipe kodi halali iliyotungwa na kupitishwa na wawakilishi wa wananchi. Wengine tunawajua ni hulka yenu kupinga kila kitu, wengine speculation za 2030 zinawaendesha, wengine, mnatamani mkae pale wizara ya fedha ili muibe baada ya madeal yenu kupigwa stop, wengine ni chuki na roho mbaya.

Lipa Kodi kwa maslahi ya nchi, acha porojo na mipasho.
 
Walevi kama kitwanga huwa hawaoni uchungu kulipa Double au triple taxation au zaidi ya hapo wanapokunywa pombe?

Anaandika Erasmos Kwayu,

Jana ameibuka waziri aliewahi kutimuliwa wizarani kutokana na ulevi wa kupindukia, Ndugu kitwanga, bila kuona haya anaisimanga serikali juu ya utozaji wa kodi, akidai huduma moja inatozwa double taxation.

Mimi najiuliza hivi ulevi wa kitwanga na walevi wengine mbona huwa hawalalamiki kulipa double au triple taxation? Kwani hiyo huwa haiwaumizi? Au haya malalamiko ya sasa yana ajenga iliyojificha? Au ni chuki dhidi ya Awamu ya sita? Mnataka kukwamisha utendakazi bora wa awamu ya sita?

Kila mtu lazima alipe kodi halali iliyotungwa na kupitishwa na wawakilishi wa wananchi. Wengine tunawajua ni hulka yenu kupinga kila kitu, wengine speculation za 2030 zinawaendesha, wengine, mnatamani mkae pale wizara ya fedha ili muibe baada ya madeal yenu kupigwa stop, wengine ni chuki na roho mbaya.

Lipa Kodi kwa maslahi ya nchi, acha porojo na mipasho.
Uwasilishaji wako wa sledi umeuleta kimasikini wa akili na fedha.Umemshambulia mambo yake badala ujadili na kutoa yako kuhusu kodi.Weye endelea kunywa kahawa reject na kashata za makapi ya korosho kwenye jua kaliii huku unasengenya waungwana.Shinda mechi zako.
 
Walevi kama kitwanga huwa hawaoni uchungu kulipa Double au triple taxation au zaidi ya hapo wanapokunywa pombe?

Anaandika Erasmos Kwayu,

Jana ameibuka waziri aliewahi kutimuliwa wizarani kutokana na ulevi wa kupindukia, Ndugu kitwanga, bila kuona haya anaisimanga serikali juu ya utozaji wa kodi, akidai huduma moja inatozwa double taxation.

Mimi najiuliza hivi ulevi wa kitwanga na walevi wengine mbona huwa hawalalamiki kulipa double au triple taxation? Kwani hiyo huwa haiwaumizi? Au haya malalamiko ya sasa yana ajenga iliyojificha? Au ni chuki dhidi ya Awamu ya sita? Mnataka kukwamisha utendakazi bora wa awamu ya sita?

Kila mtu lazima alipe kodi halali iliyotungwa na kupitishwa na wawakilishi wa wananchi. Wengine tunawajua ni hulka yenu kupinga kila kitu, wengine speculation za 2030 zinawaendesha, wengine, mnatamani mkae pale wizara ya fedha ili muibe baada ya madeal yenu kupigwa stop, wengine ni chuki na roho mbaya.

Lipa Kodi kwa maslahi ya nchi, acha porojo na mipasho.
Ccm anaekuja na mawazo mbadala anaonekana haitaki serikali ya sita watamdhalilisha Sana Yani , tuliyaona kwa Ndugai pia,
Au ni vita ya uchumi?
 
Wapumbavu tuu ndio wanaweza Pinga tozo na hao ni watu wa Mjini waliongonya watu wa Vijijini Kwa miaka zaidi ya 60..

Kwamba hao kenge wanataka watu wa Vijijini waendelee kuishia maisha haya hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220904-181516.jpg
    Screenshot_20220904-181516.jpg
    93.3 KB · Views: 4
Walevi kama kitwanga huwa hawaoni uchungu kulipa Double au triple taxation au zaidi ya hapo wanapokunywa pombe?

Anaandika Erasmos Kwayu,

Jana ameibuka waziri aliewahi kutimuliwa wizarani kutokana na ulevi wa kupindukia, Ndugu kitwanga, bila kuona haya anaisimanga serikali juu ya utozaji wa kodi, akidai huduma moja inatozwa double taxation.

Mimi najiuliza hivi ulevi wa kitwanga na walevi wengine mbona huwa hawalalamiki kulipa double au triple taxation? Kwani hiyo huwa haiwaumizi? Au haya malalamiko ya sasa yana ajenga iliyojificha? Au ni chuki dhidi ya Awamu ya sita? Mnataka kukwamisha utendakazi bora wa awamu ya sita?

Kila mtu lazima alipe kodi halali iliyotungwa na kupitishwa na wawakilishi wa wananchi. Wengine tunawajua ni hulka yenu kupinga kila kitu, wengine speculation za 2030 zinawaendesha, wengine, mnatamani mkae pale wizara ya fedha ili muibe baada ya madeal yenu kupigwa stop, wengine ni chuki na roho mbaya.

Lipa Kodi kwa maslahi ya nchi, acha porojo na mipasho.
Ungejitahidi upate mtu mwenye akili akundikie kitu cha kuweza pinga hoja ya Kitwanga. Usituangushe maana mwishowe wote tunaomuunga mkono mama tutaonekana Vilaza.
 
Walevi kama kitwanga huwa hawaoni uchungu kulipa Double au triple taxation au zaidi ya hapo wanapokunywa pombe?

Anaandika Erasmos Kwayu,

Jana ameibuka waziri aliewahi kutimuliwa wizarani kutokana na ulevi wa kupindukia, Ndugu kitwanga, bila kuona haya anaisimanga serikali juu ya utozaji wa kodi, akidai huduma moja inatozwa double taxation.

Mimi najiuliza hivi ulevi wa kitwanga na walevi wengine mbona huwa hawalalamiki kulipa double au triple taxation? Kwani hiyo huwa haiwaumizi? Au haya malalamiko ya sasa yana ajenga iliyojificha? Au ni chuki dhidi ya Awamu ya sita? Mnataka kukwamisha utendakazi bora wa awamu ya sita?

Kila mtu lazima alipe kodi halali iliyotungwa na kupitishwa na wawakilishi wa wananchi. Wengine tunawajua ni hulka yenu kupinga kila kitu, wengine speculation za 2030 zinawaendesha, wengine, mnatamani mkae pale wizara ya fedha ili muibe baada ya madeal yenu kupigwa stop, wengine ni chuki na roho mbaya.

Lipa Kodi kwa maslahi ya nchi, acha porojo na mipasho.
Mjinga mkubwa
 
Wapumbavu tuu ndio wanaweza Pinga tozo na hao ni watu wa Mjini waliongonya watu wa Vijijini Kwa miaka zaidi ya 60..

Kwamba hao kenge wanataka watu wa Vijijini waendelee kuishia maisha haya hapa 👇
Mtu aliezaliwa Buguruni, kasoma tambaza na kuajiliwa postal hawezi kujua lugha ya ujenzi wa vituo vya afya na Madarasa
 
Back
Top Bottom