myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,061
kwa wakati ule vijana walitoka jkt walitumika kupeleka ujumbe na kujua jins gani watu wanaupokea vipi mustakbali wa uongozi, pia matakwa ya serikali yanapokelewaje, kwa wakati ule mwenge ilikuwa njia rahisi ya mawasiliana kati ya ujumbe wa serikali na wananchi hasa vijijini,lengo lilikuwa zuri sana. ila kwa sasa dunia imebadilika, nadhani mwenge uwamulike viongozi nao badala ya wananchitumetoka mbali aisee..