vip kuhusu autoroll software ya qsat q11g?
or maweza ku upgrade kwa kutumia q23g au q26g? yaan nakosa uhondo wa SPORT24
SawaAuto roll kwa q11,13 na 15 tayari zipo sokoni
utoroll software ya qsat q11g
- Bado hawajatoa software ya Q11
- ila kwa sasa waweza pata decoder ya autoroll (mpya) kwa bei isiyozidi 150,000 au chini ya hapo.
- Ninazo autoroll decoder wasiliana nami (simu: 0625 955 137) iwapo utahitaji
ku upgrade kwa kutumia q23g au q26g
- Software haziingiliani.
- Haiwezekani software ya Q26 ukaweka kwenye Q11
FREESAT V7 COMBO & FREESAT V7 MAX
DECODER ZIPO na kwa sasa zitapatikana kwa bei ya TZS 125,000 tu
1. Decoder Model: FREESAT V7 MAX
View attachment 484075
View attachment 484076
View attachment 484077
2. Decoder Model: FREESAT V7 COMBO
View attachment 484071
View attachment 484072
View attachment 484073
JINSI YA KUPATA MZIGO
- Kwa wakazi wa DSM tu- Cash on Delivery
- Kwa wadau wa mikoani mzigo utakufikia kwa EMS/ njia ya BASI - Wewe utapendekeza njia ipi itumike, Ghalama ya kusafirisha ni juu yako. Utafanya malipo kwa utaratibu utakaopewa ndipo utumiwe mzigo
MAWASILIANO
- Call/sms 0717 54 57 62 / 0768 92 48 41
- Whatsapp +255 784 496 856
View attachment 484074
Kwa hitaji la Freesat v7 COMBO na Freesat V7 MAXFREESAT V7 COMBO & FREESAT V7 MAX
DECODER ZIPO na kwa sasa zitapatikana kwa bei ya TZS 125,000 tu
1. Decoder Model: FREESAT V7 MAX
View attachment 484075
View attachment 484076
View attachment 484077
2. Decoder Model: FREESAT V7 COMBO
View attachment 484071
View attachment 484072
View attachment 484073
JINSI YA KUPATA MZIGO
- Kwa wakazi wa DSM tu- Cash on Delivery
- Kwa wadau wa mikoani mzigo utakufikia kwa EMS/ njia ya BASI - Wewe utapendekeza njia ipi itumike, Ghalama ya kusafirisha ni juu yako. Utafanya malipo kwa utaratibu utakaopewa ndipo utumiwe mzigo
MAWASILIANO
- Call/sms 0717 54 57 62 / 0768 92 48 41
- Whatsapp +255 784 496 856
View attachment 484074
Matumizi yake tumejadili kwa kina HAPA: https://www.jamiiforums.com/threads...usi-vya-kulipia.1022441/page-21#post-20267560Mi cjaelewa hiyo free sat na matumizi yake nieleweshe tafadhali kw faida ya wengi
Kaka sasa hivi inafungua pale kwenye Eutelsat 16A @16.0 E pale pana Parabole Réunion[/blue]Kwa hitaji la Freesat v7 COMBO na Freesat V7 MAX
Tumia haya Mawasiliano 0717 54 57 62
Mzigo bado upoFREESAT V7 COMBO & FREESAT V7 MAX
DECODER ZIPO na kwa sasa zitapatikana kwa bei ya TZS 125,000 tu
1. Decoder Model: FREESAT V7 MAX
View attachment 484075
View attachment 484076
View attachment 484077
2. Decoder Model: FREESAT V7 COMBO
View attachment 484071
View attachment 484072
View attachment 484073
JINSI YA KUPATA MZIGO
- Kwa wakazi wa DSM tu- Cash on Delivery
- Kwa wadau wa mikoani mzigo utakufikia kwa EMS/ njia ya BASI - Wewe utapendekeza njia ipi itumike, Ghalama ya kusafirisha ni juu yako. Utafanya malipo kwa utaratibu utakaopewa ndipo utumiwe mzigo
MAWASILIANO
- Call/sms 0717 54 57 62 / 0768 92 48 41
- Whatsapp +255 784 496 856
View attachment 484074
Download kwa ku click haya maandishiNaweza kupata software mpya ya Qsat 28?
Utalipia 75,000 sawa na sh. 25000 kwa mwezi.. Kama sitaki kulipia kabis ninunue ipiUtalipia tena baada ya miezi mitatu kwa account ya cccam.
Nitakupa namba za kufanyia malipo.
Karibu
ilikuwa zamani, cccam account zilikuwa zkifungua d*tv channel, kwa sasa hakuna.Utalipia 75,000 sawa na sh. 25000 kwa mwezi..
Kwa sasa FTA decoder (haulipiii kabisa) zilizobora ni.Kama sitaki kulipia kabis ninunue ipi
Bei ni decoder pekee (Kwa sasa zinapatikana kwa order maalum tu - kupitia hii thread www.v.ht/buy4me )Bei ya hiyo decoder ya 1,23000 mkuu ni pamoja na dishi?
FTA tv channel nyingi utazipata kwa dish kubwa, Ni vyema ukapata disha la FT6, na kama bajeti inaruhusu basi pata Dish la FT8 au zaidiNa hilo dishi ni kubwa au dogo?
FT6 - TZS 120,000Dishi lenyewe unauzaje???
Satelite decoder haina cha kijijini hata kama upo mang'ula inatamata vizurije vijijini sehemu ambapo network haifanyi vizuri vitashika bila kuganda???