Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

Jipatie Qsat Q23G HD satellite FTA receiver

Kwa watumiaji wa IPTV katika - QSAT, XMASTER, XMAN, SPEED HDS1 & Other supported Decoder

Rejea
post#726 HAPA

VIP INTERNET- FAQ
1. Ni kiasi gani cha Data nitapata kwa mwezi?
Hakuna kikomo cha data utakachopata kwa mwezi, Uta download/Upload kwa kadri uwezavyo.


2. Je speed yake ikoje?
Utapat speed bila kikomo kuanzia siku ya kwanza ya matumizi na haito badilika.


3.Je naweza kujiunga tena baada ya mwezi kwisha?
Ndio utajiunga na VIP INTERNET kila mwezi.


4. Je ninaweza ku_download Torrents?
Ndio utaweza kudownload torrents za movies, series, software, games etl kwa kadri uwezavyo.


5. Je nitaweza kuangalia yuotube na kufanya streaming ya live Tv?
Ndio utawea kuangalia youtube na online TV bila tatizo.


6. Je ninajiunga vipi na VIP INTERNET?
Wasiliana nami ili kujiunga na VIP INTERNET


7. Je VPN Software gani inayotumika ili kupata VIP Internet?
HAKUNA vpn software yeyote utakayotumia.


8. Je ni nani hasa anapaswa kujiunga na VIP internet?
Wale wote walio kwenye database yangu, utanipa User ID yako kama uthibitisho.


9. Je unaswali lolote kuhusu VIP INTERNET tumia skype:mw1rct ; whatsapp: +255 784 496 856 AU tumia JF PM

NB:- Naomba tuzingatie kipengele no.#9
 
jamani mie nisaidieni nimefanya update qsat 26g lakini hadi sasa sijafanikiwa server still iko offline na net iko poa nikifungua application ya youtube inafunguka fresh ila ni ki conect server inandika pleas wait mpaka mwisho hakuna kitu msaada kwenu wakuu
 
nimefanya update qsat 26g
Download Link for Q26G: http://bit.ly/rctQ26G

Kama umefanya update kutumia hili file inapswa Q26G ifanye kazi vyema.
hadi sasa sijafanikiwa server still iko offline .................ki conect server inandika pleas wait mpaka mwisho hakuna kitu............
Tatizo la Server connection ipo kwa software ya zamani na siyo hii mpya.

HITIMISHO
1. Bila shaka utakuwa unafanya jaribio la ku_connect CCCAM wakati ziko offline
2. Q26G inatumia SPYCAM na haina sehemu ya ku_connect manually - Bali yenyewe inataka connection ya internet tu
3. KITU CHA KUFANYA - Fanya internet connection kwa kutumia GPRS NETWORK , kisha fungua SS9, iache kwa sekunde 5, zima receiver, kisha iwashe pasipo kubadil channel

IWAPO BADO HAUTOFANIKIWA - Nipigie 0717 54 57 62
jamani mie nisaidieni nimefanya update qsat 26g lakini hadi sasa sijafanikiwa server still iko offline na net iko poa nikifungua application ya youtube inafunguka fresh ila ni ki conect server inandika pleas wait mpaka mwisho hakuna kitu msaada kwenu wakuu
 
Piga 0717 54 57 62 ILI KUPATA
  • ACAMHD for QSAT/XMASTER/XMAN/SPEED HDs1 - TSH 60'000/six Month
  • New Server IPTV ACCOUNT - for BeIN Sport 1 - 15 & other sports channel - TSH 45'000/year
  • VIP INTERNET - For Unlimited Speed & Unlimited DOWNLOA/UPLOAD - Now for Only TSH 20'000/Month
  • QSAT Q28G Combo DVB S2 & DVB T2 - With Free SIX Month for Canal 22W & Eutelsat 36E - TSH 266'000/-
20150522233757.jpg



20150522234155.jpg



20150522233627.jpg

 
Mpaka uwe na antena km hiyo na ukiwa na ukiwa na dish km la DSTV hupati local TV channels
 
edited1.jpg
Mpaka uwe na antena km hiyo na ukiwa na ukiwa na dish km la DSTV hupati local TV channels

  • Ukiangalia vyema hii picha, utaona kuna sehemu mbili za kuweka cable [1] Antena ya kawaida , [2] Dish.
  • Ili kupata local channel si lazima kutumia Antena, waweza set Dish na ukapata local TV channel
  • Hapo uchaguzi ni wako utumie Dish au antena
Na hizo antena pia unauza
  • Hapana siuzi hizi antena

  • Hizi antena zinapatika kirahisi sana kariakoo - barabara ya uhuru baada ya round about [ kama upo dar]
 
MKUU mi nahitaji moja ya hizo Decoder za QSAT Q28G lakini hapa nilipo hakuna network ya 3G, Sasa hiyo decoder itaweza kufanya kazi kweli kwa network ya E?
 
Ndugu montana zayumba

3G Network ni moja kati ya options zilizopo za kuweza kuunganisha hii decoder kwenye internet

Option zingine ni:
- GPRS Network
- WiFi - Inatakiwa uwe na wireless adpater
- Ethernet Cable

Si lazima kutumia 3G internet iwapo unatumia default account, Edge/ Gprs Network yaweza kutumika. Hivyo ondoa shaka juu ya ufanyaji kazi wa decoder katika E, Sababu hii receiver ni GPRS/3G/WIFI MPEG4 Combo DVB S2 & T2 Digital Decoder
image.jpg

Na iwapo utaamua kutumia Terrestrial Antenna (Pichani) basi hutoitaji kutumia connection ya inetrnet yeyote ile.

ITAHITAJIKA 3G Network - Iwapo tu
1. Unataka kutumia account ya IPTV
2. Unataka kufanya straeming toka YOUTUBE , P**RN TUBE , R*DTUBE

Wakati wowote ukihitaji QSAT Q28G Combo nipigie 0717 54 57 62
MKUU mi nahitaji moja ya hizo Decoder za QSAT Q28G lakini hapa nilipo hakuna network ya 3G, Sasa hiyo decoder itaweza kufanya kazi kweli kwa network ya E?
 
Last edited by a moderator:
Je tayari upo connected na VIP Internet?

Je uko mbali na Decoder yako ya qsat?

Je mahala ulipo una Laptop na unahitaji kuangalia TV?


KAMA JIBU NI NDIO - Fuatisha hatua hizi
1. Download TVADDONS na Fuata maelekezo hapa
Code:
 http://www.tvaddons.ag/config-wizard-kodi/
2. Chagua unachotaka kuangalia kama ni Filamu, Music etl
Screen_Shot_2014_06_23_at_3_51_58_PM.jpg

 
Ndugu buholelius

Zingatia VIP Internet - FAQ hapo juu.
9. Je unaswali lolote kuhusu VIP INTERNET tumia skype:mw1rct ; whatsapp: +255 784 496 856 AU tumia JF PM

NB:- Naomba tuzingatie kipengele no.#9
 
Last edited by a moderator:
Mwl.RCT
Hivi zile channels za beIN Sport 1&2 HD Zimepotelea wapi?
  • Si BeIN pekee, Bali Ni channel zote ambazo zilikuwa zikipatikana kwa hizi TP 12520H27500 @7E hazipo/zimeondolewa kwa sasa
  • Karibu
 
  • Si BeIN pekee, Bali Ni channel zote ambazo zilikuwa zikipatikana kwa hizi TP 12520H27500 @7E hazipo/zimeondolewa kwa sasa
  • Karibu

Mwl.RCT
Nimekuelewa sana! Sasa kwani kwasasa hakuna TP zingine walizotoa ili kupata chaneli hizo za beIN na wenzake kwa mfumo uleule uliokuwepo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom