Blood Hurricane
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 1,175
- 305
Jana Qsat 23g imepotea kabisa hamna kinachoonekana..
Lolowapi yaelekea unanunua acc kwa Mwl RCT maana unachuki nae mbona qsat husemi kama mkanda
Jana Qsat 23g imepotea kabisa hamna kinachoonekana..
Wewe nani? Na wala sijahitaji kununua account.Pole sana tutatoa account nyengine andaa 65,000 kwa miezi sita ni offer.
lolowapiNishatapeliwa kama 140,000 na huyu mwl.crt kununua accounts ndio na mimi nikasema sikubali wengine watapeliwe.nilichogundua jamaa ni silent killer anatumia kauli nzuri ila ni msanii wa kufa mtu.
lolowapi
Acha uzushi na uongo
Weka account hapa unazodai nimekuuzia.
Nina records ya accounts zote nilizouza
Tatizo lako unasahau comments zako za nyuma
Kila kukicha unakuja na jipya
JIREKEBISHE HUA HATUENDI HIVYO.
Kama utanihakikishia utanirudishia hela yangu naiweka sasa hivi au hata conversation yangu na wewe kwenye simu before na baada ya kuniuzia kuonyesha usanii wako.
Hahahaaa, umbea tu umekujaa hadi unatapeliwa hata huoni aibu.Nishatapeliwa kama 140,000 na huyu mwl.crt kununua accounts ndio na mimi nikasema sikubali wengine watapeliwe.nilichogundua jamaa ni silent killer anatumia kauli nzuri ila ni msanii wa kufa mtu.
A new CCCAM Server will be launched later this year and is an already existing in europe, the company now is set to start full operation very soon,
http://jonesarena.blogspot.com/2015/03/new-cccam-server-coming-soon.html
Jana Qsat 23g imepotea kabisa hamna kinachoonekana..
http://grandcccam.com/
Grand CCCAM official site
- Ni kweli kwa jana jioni ilikuwa OFFLINE
- Ila kwa sasa ipo sawa
- Hili ni tatizo kwa Server za VATAR, kufanya kazi na kukata.
- Tusubiri ujio wa GRAND CCCAM kwa nchi za africa, Tutaisahau hii AvatarcamHD
Code:http://grandcccam.com/
Hahahaaa, umbea tu umekujaa hadi unatapeliwa hata huoni aibu.
Safi sana, tena kama huyo mwalimu hajakutapeli kweli nitachukia sana.
Inakuumiza roho sana eeh? Na utakufa kwa wivu!Ha ha mimi avatar tu.
Unaruka ruka ikitoka grandcccam inakuja lolowapicccam kila siku account mpya wizi mpya.acha wizi kimachomacho nina uhakika hiyo account haitafanya kazi zaidi ya wiki 2 .maana huo ndio mchezo wenu kila siku kutoa account mpya ili mle hela za wajinga .wakija kushtukia mtachonwa moto .shame on you:
- Kadri siku zinaovyoenda ndio jinsi unavyojidhihirisha jinsi usivyofahamu ulimwengu wa IKS unavyokwenda
- Mfanye Google rafiki ili ujifunze na kuelimika zaidi
- Inasikitisha kwa kweli, Pole sana.
- Karibu
- Kadri siku zinaovyoenda ndio jinsi unavyojidhihirisha jinsi usivyofahamu ulimwengu wa IKS unavyokwenda
- Mfanye Google rafiki ili ujifunze na kuelimika zaidi
- Inasikitisha kwa kweli, Pole sana.
- Karibu
Grand CCCAM official site
- Ni kweli kwa jana jioni ilikuwa OFFLINE
- Ila kwa sasa ipo sawa
- Hili ni tatizo kwa Server za VATAR, kufanya kazi na kukata.
- Tusubiri ujio wa GRAND CCCAM kwa nchi za africa, Tutaisahau hii AvatarcamHD
Code:http://grandcccam.com/