Jipatie majeneza ya kisasa

Jipatie majeneza ya kisasa

[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
 
Mpendwa mteja napenda kuwajulisha kuwa sasa kuna punguzo maalum la msimu wa sikukuu,

Ni majeneza ya kisasa kabisa yenye ubora na muonekano wa kuvutia!
Kwa mteja aliyepo Dodoma atapata huduma ya kusafirishiwa mzigo mpaka mlangoni.
Pia tunatoa huduma ya kujenga na kukarabati makaburi kwa material za kisasa kabisa.!

Pia tunahitaji mawakala kutoka mikoa mingine ili kuweza kusambaza huduma zetu.

transporter-box-500x500.jpg

a04bf4de4f17a422ee65ca568658ad2c.jpg

Merrion-image-1024x666.jpg

Draculaura%20Doll%20%26%20Jewelry%20Box%205.jpg

box-coffin.jpg


Karibuni sana kwa huduma nzuri na bei nafuu.
Nb: nimeshindwa kuweka no ya simu kwa kuepuka usumbufu
(kwa wale wazee wa kutukana) hivyo ndugu mteja uliye serious njoo pm nikupe mawasiliano yangu.

Samahani ikiwa kuna mtu nimemkwaza kwa namna moja ama nyingine (ieleweke kuwa hii ni huduma kama zilivyo huduma nyingine) karibuni sana.
tumekuelewa ww MBWA.
 
Weka na namba ya simu tukiwa tunahitaji tukupigie
 
Unaweza kununua na kuweka ndani Kama aseti tu siku ukipenda unaingia na kufanya zoezi as if umededi unajipiga na selfie za kutosha
Safi sana mkuu una mawazo mazuri sana tukipata watu waelewa kama wewe nchi yetu itafika mbali sana.
 
Mods huu uzi wa kijinga sijui sijui hawajauona?
Acha kuharibu biashara za watu wewe.!
Mbona humu wengine wanatangaza biashara zao za vitu used kama vitanda, sofa, makabati, masufuria nk. Mpaka mbunye used
 
Mfano ukichagua yale ya bei kuanzia laki 3 yamewekewa material flani yanaweza kudumu ardhini kwa miaka 100
Mkuu nataka nijinunulie ili nisisumbue watu nikifa, bei yake ikoje na linaweza dumu kwa muda gani?
 
Back
Top Bottom