Aiseeeeee......[emoji47] [emoji47] [emoji47]Nasikia alishatangulia mbele za haki maskini ningekuwepo ningetoa jeneza la bure jamani dah.!
Kwahyo huu ni upuuz..stak kuaminiAlhamduliLlah Waislam yetu ni environmental friendly, moja linahudumia maelfu ya watu.
Hatuna upuuzi huu.
Kwahyo huu ni upuuz..stak kuamini
Ndivyo ulivyofunzwa.Pita kama umepishana na kifiro
Mm sjakaataa kifo mkuu hakuna atakaebaki katika hii dunia Kila mafai itaonja umauti ila issue yakuuza majeneza siio kwahiyo biashara ikiwa ngumu unafikiria Atafanya maombi ganiKifo kipo tu mkuu, na hii ni biashara kama biashara zingine tu
Unakatwa vipandevipande kama kekiHilo la vyumba kama vibox marehemu anakaaje
Huyo maza dini imemuaribu akiliKwahyo huu ni upuuz..stak kuamini
Mpendwa mteja napenda kuwajulisha kuwa sasa kuna punguzo maalum la msimu wa sikukuu,
Ni majeneza ya kisasa kabisa yenye ubora na muonekano wa kuvutia!
Kwa mteja aliyepo Dodoma atapata huduma ya kusafirishiwa mzigo mpaka mlangoni.
Pia tunatoa huduma ya kujenga na kukarabati makaburi kwa material za kisasa kabisa.!
Pia tunahitaji mawakala kutoka mikoa mingine ili kuweza kusambaza huduma zetu.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Karibuni sana kwa huduma nzuri na bei nafuu.
Nb: nimeshindwa kuweka no ya simu kwa kuepuka usumbufu
(kwa wale wazee wa kutukana) hivyo ndugu mteja uliye serious njoo pm nikupe mawasiliano yangu.
Samahani ikiwa kuna mtu nimemkwaza kwa namna moja ama nyingine (ieleweke kuwa hii ni huduma kama zilivyo huduma nyingine) karibuni sana.
Mm sjakaataa kifo mkuu hakuna atakaebaki katika hii dunia Kila mafai itaonja umauti ila issue yakuuza majeneza siio kwahiyo biashara ikiwa ngumu unafikiria Atafanya maombi gani
Hii comment imestahili kuwa #1[emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Msenge wewe!
Acha masihara wewe!!! Huko ni kuchezea makalio ya simba....acha kabisa.Unaweza kununua na kuweka ndani Kama aseti tu siku ukipenda unaingia na kufanya zoezi as if umededi unajipiga na selfie za kutosha
Ahahahah ety "punguzo maalum la msimu wa sikukuu..." ShwaiiinMpendwa mteja napenda kuwajulisha kuwa sasa kuna punguzo maalum la msimu wa sikukuu,
Ni majeneza ya kisasa kabisa yenye ubora na muonekano wa kuvutia!
Kwa mteja aliyepo Dodoma atapata huduma ya kusafirishiwa mzigo mpaka mlangoni.
Pia tunatoa huduma ya kujenga na kukarabati makaburi kwa material za kisasa kabisa.!
Pia tunahitaji mawakala kutoka mikoa mingine ili kuweza kusambaza huduma zetu.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Karibuni sana kwa huduma nzuri na bei nafuu.
Nb: nimeshindwa kuweka no ya simu kwa kuepuka usumbufu
(kwa wale wazee wa kutukana) hivyo ndugu mteja uliye serious njoo pm nikupe mawasiliano yangu.
Samahani ikiwa kuna mtu nimemkwaza kwa namna moja ama nyingine (ieleweke kuwa hii ni huduma kama zilivyo huduma nyingine) karibuni sana.
Aisee 😂😂😂😂😂🤳Unaweza kununua na kuweka ndani Kama aseti tu siku ukipenda unaingia na kufanya zoezi as if umededi unajipiga na selfie za kutosha
Mkuu una nia ya biashara kweli kwa kaulk hii??Wanaogopa kufa wakati mwisho wa mwaka tayari
Hivi ukitoa la mtoto kama nyongeza unamaanisha kuwa mtoto wao mmoja inabid afe kabla au ni tahadhari ikitokea?Mteja atakayenunua kuanzia majeneza matatu atapewa nyongeza jeneza moja la mtoto bure kabisa.