Jipatie majeneza ya kisasa

Jipatie majeneza ya kisasa

Nasikia alishatangulia mbele za haki maskini ningekuwepo ningetoa jeneza la bure jamani dah.!
Aiseeeeee......[emoji47] [emoji47] [emoji47]
Mkuu, ebu acha maskhara
Hii habari uliisikia wapi?
Na alifariki lini?
 
Nimeyapenda, ntakucheki hivi karibuni uniandalie la futi 6[emoji56]
 
Hakuna offer kama buy 2 get 1 free? hakuna SALE? Ukitoa product mpya unatakiwa ufanye promotion kwenye BAR na Guest House. Very brilliant business idea.
 
Mpendwa mteja napenda kuwajulisha kuwa sasa kuna punguzo maalum la msimu wa sikukuu,

Ni majeneza ya kisasa kabisa yenye ubora na muonekano wa kuvutia!
Kwa mteja aliyepo Dodoma atapata huduma ya kusafirishiwa mzigo mpaka mlangoni.
Pia tunatoa huduma ya kujenga na kukarabati makaburi kwa material za kisasa kabisa.!

Pia tunahitaji mawakala kutoka mikoa mingine ili kuweza kusambaza huduma zetu.

transporter-box-500x500.jpg

a04bf4de4f17a422ee65ca568658ad2c.jpg

Merrion-image-1024x666.jpg

Draculaura%20Doll%20%26%20Jewelry%20Box%205.jpg

box-coffin.jpg


Karibuni sana kwa huduma nzuri na bei nafuu.
Nb: nimeshindwa kuweka no ya simu kwa kuepuka usumbufu
(kwa wale wazee wa kutukana) hivyo ndugu mteja uliye serious njoo pm nikupe mawasiliano yangu.

Samahani ikiwa kuna mtu nimemkwaza kwa namna moja ama nyingine (ieleweke kuwa hii ni huduma kama zilivyo huduma nyingine) karibuni sana.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haki tena nimejikuta nacheka utafikiri ni mazuri!!

Ahahahahah kwaio mkuu wewe umefocus kwenye maombi yake tu!!!

Ila hata mi nimejiuliza hivyo hivyo, kama mkulima anaombe mvua inyeshe, bodaboda anaombe jua liwake...je huyu mwenzetu dua yake inakaaje aje?.
Mm sjakaataa kifo mkuu hakuna atakaebaki katika hii dunia Kila mafai itaonja umauti ila issue yakuuza majeneza siio kwahiyo biashara ikiwa ngumu unafikiria Atafanya maombi gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpendwa mteja napenda kuwajulisha kuwa sasa kuna punguzo maalum la msimu wa sikukuu,

Ni majeneza ya kisasa kabisa yenye ubora na muonekano wa kuvutia!
Kwa mteja aliyepo Dodoma atapata huduma ya kusafirishiwa mzigo mpaka mlangoni.
Pia tunatoa huduma ya kujenga na kukarabati makaburi kwa material za kisasa kabisa.!

Pia tunahitaji mawakala kutoka mikoa mingine ili kuweza kusambaza huduma zetu.

transporter-box-500x500.jpg

a04bf4de4f17a422ee65ca568658ad2c.jpg

Merrion-image-1024x666.jpg

Draculaura%20Doll%20%26%20Jewelry%20Box%205.jpg

box-coffin.jpg


Karibuni sana kwa huduma nzuri na bei nafuu.
Nb: nimeshindwa kuweka no ya simu kwa kuepuka usumbufu
(kwa wale wazee wa kutukana) hivyo ndugu mteja uliye serious njoo pm nikupe mawasiliano yangu.

Samahani ikiwa kuna mtu nimemkwaza kwa namna moja ama nyingine (ieleweke kuwa hii ni huduma kama zilivyo huduma nyingine) karibuni sana.
Ahahahah ety "punguzo maalum la msimu wa sikukuu..." Shwaiiin



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom