Jipatie majeneza ya kisasa

Jipatie majeneza ya kisasa

Ujinga gani wakati siku ukifa ndugu zako wataenda kununua jeneza la hovyo tena watauziwa bei kubwa (kama yale majeneza waliozikia watu Mwanza)
Badala ununue mapema uweke akiba ukifa wasihangaike
Huu sasa ni ujinga
 
Mpendwa mteja napenda kuwajulisha kuwa sasa kuna punguzo maalum la msimu wa sikukuu,

Ni majeneza ya kisasa kabisa yenye ubora na muonekano wa kuvutia!
Kwa mteja aliyepo Dodoma atapata huduma ya kusafirishiwa mzigo mpaka mlangoni.
Pia tunatoa huduma ya kujenga na kukarabati makaburi kwa material za kisasa kabisa.!

Pia tunahitaji mawakala kutoka mikoa mingine ili kuweza kusambaza huduma zetu.

transporter-box-500x500.jpg

a04bf4de4f17a422ee65ca568658ad2c.jpg

Merrion-image-1024x666.jpg

Draculaura%20Doll%20%26%20Jewelry%20Box%205.jpg

box-coffin.jpg


Karibuni sana kwa huduma nzuri na bei nafuu.
Nb: nimeshindwa kuweka no ya simu kwa kuepuka usumbufu
(kwa wale wazee wa kutukana) hivyo ndugu mteja uliye serious njoo pm nikupe mawasiliano yangu.

Samahani ikiwa kuna mtu nimemkwaza kwa namna moja ama nyingine (ieleweke kuwa hii ni huduma kama zilivyo huduma nyingine) karibuni sana.
Hilo jeusi bei gani?
 
Mpendwa mteja napenda kuwajulisha kuwa sasa kuna punguzo maalum la msimu wa sikukuu,

Ni majeneza ya kisasa kabisa yenye ubora na muonekano wa kuvutia!
Kwa mteja aliyepo Dodoma atapata huduma ya kusafirishiwa mzigo mpaka mlangoni.
Pia tunatoa huduma ya kujenga na kukarabati makaburi kwa material za kisasa kabisa.!

Pia tunahitaji mawakala kutoka mikoa mingine ili kuweza kusambaza huduma zetu.

transporter-box-500x500.jpg

a04bf4de4f17a422ee65ca568658ad2c.jpg

Merrion-image-1024x666.jpg

Draculaura%20Doll%20%26%20Jewelry%20Box%205.jpg

box-coffin.jpg


Karibuni sana kwa huduma nzuri na bei nafuu.
Nb: nimeshindwa kuweka no ya simu kwa kuepuka usumbufu
(kwa wale wazee wa kutukana) hivyo ndugu mteja uliye serious njoo pm nikupe mawasiliano yangu.

Samahani ikiwa kuna mtu nimemkwaza kwa namna moja ama nyingine (ieleweke kuwa hii ni huduma kama zilivyo huduma nyingine) karibuni sana.
Wewe lako ni lipi kati ya hayo?
 
Back
Top Bottom