mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,835
- 106,035
Ndiyo ntumie namba yako ya whatsap nkutumieNaeza ona picha mkuu?
Ova
Ndiyo ntumie namba yako ya whatsap nkutumieNaeza ona picha mkuu?
Ntafutie prado(diamond)ila bei isikaze sanaLeteni oda zenu
Bei ngapi mzeeNtafutie prado(diamond)ila bei isikaze sana
Iwe namba d
Ova
Ninayo ya Mil 30Natafuta tipper Aina ya fusso nina 15MIL
Unayo au unauliza?Mark X 250G kwa 6 inapatikana
Kama unauliza mi ninayo ya Mil 8Mark X 250G kwa 6 inapatikana
SawaNakuchek via wasap mkuu
Ova
0718295182Nakuchek via wasap mkuu
Ova
Imeuzwa chief
Chief sijaelewa vizuri naomba urudie kunieleweshaBango umaweza kunipati body ya gaiya engine ninayo
Chief sijaelewa vizuri naomba urudie kunielewesha
Hahaaaa, hiyo itakuwa ni pikipiki aina ya Rav4Zipo. Baba mwenye nyumba wangu anatembelea Rav4 Old model alichukua kwa 3.2m matengenezo hadi kukaa barabaran iligharimu laki3
Kwa sasa sina hiyo chiefNataka jumba la gagaiya ambayo haina engine au engine yake mbovu ili niweze kuvalisha yangu haitembei