BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,060
- 2,111
Habari zenu wakuu,
Kwa uhitaji wa kununua gari used Tanzania, yaani gari za mikononi,
Wasiliana nami,
Leta oda yako kama sina nitakutafutia, kikubwa uwe na utayari na hela iwepo,
Ndani ya siku 1 unapata gari ulitakalo tayari kulikagua,
Pia kama unauza gari lolote nitakutafutia mnunuzi
KWA MUUZAJI: Lengo langu ni kuitangaza na kufanya mali yako ipate mteja kwa haraka
Kumbuka wanaouza magari ni wengi na kila mmoja ana Bei yake, Hivyo nipe bei itakayovutia wateja na kufanya gari yako iuzike kwa wakati
Ili kuharakisha biashara Sifanyi udalali wa kuongeza cha juu, Siongezi hata senti katika Bei utakayonipa, nikileta mteja ww ndie wa kuelewana nae ila naomba tu uwe muaminifu kwa kile kidogo nami unikumbuke
Mimi utanipa kidogo pale gari litakapouzika (angalau nami nipate kulisha familia ndugu)
HAKIKISHA UKITUMA GARI, TUMA SIFA (SPECIFICATION) ZA GARI, NA KAMA KUNA SHIDA AU TATIZO LOLOTE LA KIUFUNDI KUWA MUWAZI ILI KUEPUSHA USUMBUFU
Asante karibu sana
MAWASILIANO
Call/Sms
+255718295182
+255765505909
Instagram@bango_magari
Watsap:+255718295182
Kwa uhitaji wa kununua gari used Tanzania, yaani gari za mikononi,
Wasiliana nami,
Leta oda yako kama sina nitakutafutia, kikubwa uwe na utayari na hela iwepo,
Ndani ya siku 1 unapata gari ulitakalo tayari kulikagua,
Pia kama unauza gari lolote nitakutafutia mnunuzi
KWA MUUZAJI: Lengo langu ni kuitangaza na kufanya mali yako ipate mteja kwa haraka
Kumbuka wanaouza magari ni wengi na kila mmoja ana Bei yake, Hivyo nipe bei itakayovutia wateja na kufanya gari yako iuzike kwa wakati
Ili kuharakisha biashara Sifanyi udalali wa kuongeza cha juu, Siongezi hata senti katika Bei utakayonipa, nikileta mteja ww ndie wa kuelewana nae ila naomba tu uwe muaminifu kwa kile kidogo nami unikumbuke
Mimi utanipa kidogo pale gari litakapouzika (angalau nami nipate kulisha familia ndugu)
HAKIKISHA UKITUMA GARI, TUMA SIFA (SPECIFICATION) ZA GARI, NA KAMA KUNA SHIDA AU TATIZO LOLOTE LA KIUFUNDI KUWA MUWAZI ILI KUEPUSHA USUMBUFU
Asante karibu sana
MAWASILIANO
Call/Sms
+255718295182
+255765505909
Instagram@bango_magari
Watsap:+255718295182