abuupancho
Member
- May 31, 2013
- 55
- 11
Mkudaba huu KakaUnadhani mmiliki wa Rwandan air atamshauri nini air tz?? Biahsra babu
Mkudaba huu KakaUnadhani mmiliki wa Rwandan air atamshauri nini air tz?? Biahsra babu
Uwezi kufikia uzuni niliyo nayo sijui tulikosea wapi mpaka tukafika hapa tuna ndege moja tu.Mimi kila mara nikiona au nikipanda Ethiopia Airlines huwa nalia na kumuuliza Mungu sisi Tanzania tumekosea/tunakosea wapi?
Kakalia kiti cha moto na mataa yamgofya.Hiyo ndege ni nzuri sana na hongera kwa nchi ya Ethiopia. Isipokuwa next time msitupie picha ya cockpit Ikiwa imekaliwa na mtu ambaye kwanza sio rubani , pili mvuto ni F- sijui ametabasamu au analia,.....
Kaharibu kilakitu.
Tanzania ktk awamu ya Tano tumedhamiria kununua kama hizi 2 kabla ya September.
Hizi ni kwa kuanzia.. Kabla ya 2020 zitakuwa sio chini ya 12.
mnashindwa kuongeaz kingereza mlicholifunza mpaka phd, mtaweza ea basi!Tanzania ktk awamu ya Tano tumedhamiria kununua kama hizi 2 kabla ya September.
Hizi ni kwa kuanzia.. Kabla ya 2020 zitakuwa sio chini ya 12.
Mwanzo baada ya Uhuru ndo chimbukoUwezi kufikia uzuni niliyo nayo sijui tulikosea wapi mpaka tukafika hapa tuna ndege moja tu.
Tanzania inanunua vicharters sio madege kama hayo.Subiri zitue ndani ya ardhi ya Tanzania
Wewe kesho nikiskia upo chini ya mikono salama sintashangaamnashindwa kuongeaz kingereza mlicholifunza mpaka phd, mtaweza ea basi!
Hata mi nanyamazishwa na wahudumu kama watano maana sijapewa jibu nani katulaani. Ethiopia wanatandaza reli za mwendokasi hapo nikifika nashikwa kizunguzungu mpaka zimamoto waninyanyue.'Tanzania ni yetu sote ila imetushindaMimi kila mara nikiona au nikipanda Ethiopia Airlines huwa nalia na kumuuliza Mungu sisi Tanzania tumekosea/tunakosea wapi?
Ndoto tu hizo za mchanaTanzania ktk awamu ya Tano tumedhamiria kununua kama hizi 2 kabla ya September.
Hizi ni kwa kuanzia.. Kabla ya 2020 zitakuwa sio chini ya 12.
Ndoto tu hizo za mchana
ni kawaida kwa watu wasiojiaminiWewe kesho nikiskia upo chini ya mikono salama sintashangaa
N'jomba hizo ndege zinazonunuliwa na serikali wala hazikaribii kulingana au hata kufanana na hiyo ndege ya Ethiopian...!!
Tanzania ktk awamu ya Tano tumedhamiria kununua kama hizi 2 kabla ya September.
Hizi ni kwa kuanzia.. Kabla ya 2020 zitakuwa sio chini ya 12.
Tanzania ktk awamu ya Tano tumedhamiria kununua kama hizi 2 kabla ya September.
Hizi ni kwa kuanzia.. Kabla ya 2020 zitakuwa sio chini ya 12.
Kosa kuchagua chama kimoja miaka yote tangu tupate UhuruMimi kila mara nikiona au nikipanda Ethiopia Airlines huwa nalia na kumuuliza Mungu sisi Tanzania tumekosea/tunakosea wapi?
Tatizo cccmHata mi nanyamazishwa na wahudumu kama watano maana sijapewa jibu nani katulaani. Ethiopia wanatandaza reli za mwendokasi hapo nikifika nashikwa kizunguzungu mpaka zimamoto waninyanyue.'Tanzania ni yetu sote ila imetushinda