Jinsi yakumsahau mtu uliye mpenda

Jinsi yakumsahau mtu uliye mpenda

Tatizo alikuwa ananifanyia mazuri mengi kuliko mabaya ila ali change ghafla na hii yote ilitokana na mm kwenda mbali kidogo kikazi kwa miez sita, kama zawadi alikuwa ananinunulia alinifanyia vitu vingi sana nikawa kama mtu niliye uteka ulimwengu kwa sekunde. Kumbe wanawake kubadilika ni kidogo tu dah sina ham.
Inaonyesha bado unampenda ndo maana inakuwia vigumu kumsahau.mimi nilitendwa na mtu niliyekuwa nampenda sana.niliumia kuliko kawaida lakini nilivyoamua kuachana naye niliwaza mabaya yake tu nikamsahau kabisa kinachonisumbua ni sugu moyoni tu. Inaonyesha wewe umemuacha ilihali unampenda ndo maana unakumbuka nice moment mlipokuwa pamoja
 
Kuwa busy na mambo yako... Iweke akili busy muda wote, ni ngumu ila utazoea..

Pole mwaya
 
Moja ya kitu ambacho nimekua nyuma sana kwenye dunia hii ni suala la mapenzi. Mapenzi mapenzi mapenzi mapenzi mapenzi Niko nyuma kweli kweli.
 
Nilipigwa na mapenzi. Nilishindwa kupenda tena lakini niliangalia move moja inaitwa love come softly. Nika hamua kuwaambia wazee wanitafutie mke wa kuoa. Nika tafutiwa mke lakini siku mpendaga. Baada ya kukaa nae mwezi na wiki kadhaa nilimpenda sana mke wangu paka hii Leo nipo nae. Love come softly. Tafuta mke uoe kijana.
 
Moja ya kitu ambacho nimekua nyuma sana kwenye dunia hii ni suala la mapenzi. Mapenzi mapenzi mapenzi mapenzi mapenzi Niko nyuma kweli kweli.
Ujue hujawahi penda mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom