Jinsi yakumsahau mtu uliye mpenda

Jinsi yakumsahau mtu uliye mpenda

Grau

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
4,791
Reaction score
4,680
Habari wakuu nilikuwa ninampenz ambaye tuliachana miezi 9 iliyo pita kiukweli nilikuwa nampenda sana. Aliufanya nione hii dunia yote niyangu japo kunawatu wanaitumia pia.

Niliweza kuiaga dunia hii ya mapenz baada ya kugundua anani cheat na anataka kunifanya ATM machine ila niliweza kui control akili yangu na kumuacha. Hapo baadae nilibahatika kupata mpenz mwingine kiukweli mpaka sasa penzi letu na huyu binti nilakibabe sana kulingana na kufikiria yule niliye kuwa nae vitu alivo nifanyia inanifanya nione na huyu niliye nae walewale tu.

Kuna moment ambazo huwa nikizifikilia kuhusu yule mpenz niliyekuwa nae napoteza matumain kabisaaaaa ya kuwa na mpenz permanent.
Yaan mpaka sasa natafuta njia ya kumsahau lakini nashindwa kabisaaa.
 
Mnajibebisha sana ndo mana mnasalitiwa!mwanamke inatakiwa hata mkiachana usijisumbue nae fanya ishu zingine za ujenzi wa taifa.dume umlilie dem unatuaibisha sana.potezea km ulivyopotezea kunyonya kwa mama
Mkuu kujibebisha nikawaida ila isipite kipimo, bahat mbaya na nzur sijawah lia mkuu.
 
Mkuu kujibebisha nikawaida ila isipite kipimo, bahat mbaya na nzur sijawah lia mkuu.
Inauma sana lakini labda nikufunze mbinu mbadala.
ukianza mahusiano jizuie sana usipende kupita kiasi!km unampenda jaribu usimuoneshe sana fanya km una ignore flani hivi.sio kila kitu au kila saa ufanye atakavyo!kuwa kauzu kimtindo.
baadae ukiona muelekeo wake mzuri na hali unayofanya bado anazidi kukuhitaji basi jua hapo umeshapata
 
watafute wanasaikolojia hapa utakula mabango na namapendekezo hewa!
 
Habari wakuu nilikuwa ninampenz ambaye tuliachana miezi 9 iliyo pita kiukweli nilikuwa nampenda sana. Aliufanya nione hii dunia yote niyangu japo kunawatu wanaitumia pia.

Niliweza kuiaga dunia hii ya mapenz baada ya kugundua anani cheat na anataka kunifanya ATM machine ila niliweza kui control akili yangu na kumuacha. Hapo baadae nilibahatika kupata mpenz mwingine kiukweli mpaka sasa penzi letu na huyu binti nilakibabe sana kulingana na kufikiria yule niliye kuwa nae vitu alivo nifanyia inanifanya nione na huyu niliye nae walewale tu.

Kuna moment ambazo huwa nikizifikilia kuhusu yule mpenz niliyekuwa nae napoteza matumain kabisaaaaa ya kuwa na mpenz permanent.
Yaan mpaka sasa natafuta njia ya kumsahau lakini nashindwa kabisaaa.
Time is the best healer ..Baada ya kipindi Fulani kupita utamsahau
 
Jitahidi usikumbuke jema lake hata moja.fikiria mabaya yake tu utamsahau
Tatizo alikuwa ananifanyia mazuri mengi kuliko mabaya ila ali change ghafla na hii yote ilitokana na mm kwenda mbali kidogo kikazi kwa miez sita, kama zawadi alikuwa ananinunulia alinifanyia vitu vingi sana nikawa kama mtu niliye uteka ulimwengu kwa sekunde. Kumbe wanawake kubadilika ni kidogo tu dah sina ham.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom