Ufungaji wa king'amuzi sio kaz,cha kuzingatia inatakiwa utege dish katika mazingira haya:Unatakiwa ulielekeze dish upande wa magharibi na katika upande wa juu chini ni vyema ukaseti kwa no.60 kwakuwa kuna namba maalumu zimepangiliwa.Ukaaji wa KU ni nyuz 0,signal za mwanzo zinakuwa 16% huwa azipandi na kushuka kama ilivyo zoeleka kwa Risiva(receiver) nyingine kwahiyo kinacho takiwa ni kucheza na upande wa magharibi(west) na usipokuwa makini unaweza kushinda kutwa nzima.