Wana jf wenzangu ninawezaje kuunganisha namba ya mtu mwingine na namba yangu ili anapopigiwa niweze kupata details zote kwamba namba ipi imempigia na ameongea nae kwa muda gani na je ametumiwa sms gani?Naombeni wenye utalaam huo wanisaidie maana mchumba wangu sio mwaminifu ili niweze kujua tabia zake na ikibidi niachane nae maana nikimuuliza anakataa kabisa so nikipata ushahidi ndo itakuwa poa.NTASHUKURU SANA.