alley omar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 277
- 37
Haya bwana endeleeni tu
Shikamoo mdogo wangu kipenzi!
Nilidanganyika....
Mmh! Niliwahi kumkurupukia mtu mmoja humu akaniambia ni mama wa miaka 45,pozi likaniisha! Nakiri,kuna wadada nafahamiana nao humu na hapa kwenye uzi nawaona wanatiririka safi tu! Kizuri zaidi,hakuna hata mmoja aliyewahi kujilaumu kukutana na mimi,make huwa sipo after mbunye japokuwa baada ya kumeet nao wengi hunitaka tu do! Something that i will never do,shida yangu huwa ni tofauti kbs na fikra zao. Natamani niwamensheni hapa ili wakonfem maneno yangu ila siwezi,nisije haribu mishemishe zangu bure..
Na siye tunaruhusiwa kuvizia dushe??
Bora nirudi kwenye siasa
Na siye tunaruhusiwa kuvizia dushe??
Absolutely...! Hizi mbinu zina workout most of the time. Tulijaribu wakati wa harakati za ujana na tulifanikiwa. Bahati mbaya maini yameshazeeka sasa.
Weee....sema hakyamungu