Jinsi ya kutongoza hapa Jamiiforums

Jinsi ya kutongoza hapa Jamiiforums

Hahahaaaaa.....Kati ya chunguzi ambazo umezifanya..Hii nimekubaliana na wewe...Uko sahihi kabisaa..!!
Etiee hebu nami nianze kwa kujaribu kwa kukulike nione kama inaweza kuthibitisha kwa mtoa mada
 
Mimi sijui nijaribu kwa Neylu lakini mzuri ila uso anaweza kukuvunja shingo akikasirika, eti dada Neylu ukali wa usoni ndo ulivyo au uko kama uzuri wako? Nataka nijipime ila naogopa
Hahahaaaaa.....Kati ya chunguzi ambazo umezifanya..Hii nimekubaliana na wewe...Uko sahihi kabisaa..!!
 
Baba paroko unataka kuwajua ili iweje? Km mbinu ndo hzo ushapewa, kazi kwako,,hahah

Hivi unajua kuwa wote tunaweza kupanda basi linaloelekea Arusha na malengo yetu ya kwenda Arusha yakawa tofauti?
 
Mimi uwa namzimia Charminglady jamani Mchunguzi Uru nifanyeje? Nipe ka mbinu basi
 
mimi namzimia sana Evelyn Salt a.k.a the double-agent. Ata kama ni sugar mumy, mimi poa tu. :embarrassed:
 
Kwa uchunguzi wa fasta fasta tu humu inaelekea watu woote wako pair....nadhan kipind jf inaanza mi cjui ndo nilikuwa masomoni umakondeni nakula samaki nchanga daah..
 
Vijana wengi hapa jamiiforums wanashindwa kupata wanawake mpaka inafika hatua watu wanaanzisha thread ikihoji ''hivi kuna mtu ameshawahi pata demu jf?'' ukweli ni kwamba hapa JF kuna mbunye nyingi sana ila tatizo vijana wengi hawajui jinsi ya kupata, Ungana nami MCHUNGUZI HURU katika uchunguzi wangu nilioufanya kipindi cha karibuni....

KOSA KUBWA LINALOFANYWA NA WATONGOZAJI NI:
Kwenda PM moja kwa moja na kuanza kuuliza taarifa personal. Uchunguzi wangu umebaini ya kuwa wanawake wengi waliofatwa PM moja kwa moja wamekuwa wachoyo wa taarifa, wanakosa imani kwa muombaji wa taarifa, hivyo wanahitaji mazoea kwanza kabla ya kuombana taarifa. Nani asiyejua kuwa kufahamiana pamoja na kuchukua namba ya simu ni moja ya hatua kubwa ya kutongozana?? Ukienda PM moja kwa moja hupewi taarifa yoyote ile wala namba za simu kudadeki zako.

UFANYE NINI:?
Ndugu watongozaji, uchunguzi wangu umebaini kuwa wengi wanaogegedana hapa jamiiforums walianza kwa kutengeneza mazoea pamoja na utani wa hapa na pale kabla hawajaenda PM. Huwa wanatengeza vipi mazoea? Ndugu watongozaji, mazoea yanatengezwa kwa:
1. kuhakikisha una-comment kila thread atakayotoa huyo unaye mmendea
2. kuhakikisha una-like post zake popote pale utakapoziona
3. kuhakikisha unam-mention katika thread au post utakayovutiwa nayo
4. ukiona post yake MMU, unamtania.

tEknIKI zao utasikia: Mamndenyi njoo huku au miss chagga unapigwa majungu huku au mpenzi wangu masai dada mbona upo kimya sana au kigori wa kilwa mchepuko wangu pitia hapa usome......... Ukiona hivyo ujue ni wale ndugu watongozaji wajanja wanajitengenezea mazingira

Kwa kufanya hivyo utakuta nae siku nyingine anaku-mention katika thread mbalimbali ujue mazoea yameshanoga, hapo ukienda PM hausumbuliwi, hata kukunyima namba yake ya simu atakuonea aibu lakini ukienda kichwa kichwa mbunye za JF utazisikia tu redioni.
MCHUNGUZI HURU

et mbunye za JF ha ha ha ha....
Hivi Lizzy kipi kilimsibu?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom