10000
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 781
- 657
Asante mkuu saiv natembea miguu imenyooka nyama za paja zinawasha washa, naendelea na zoezi I appreciate mchango wako, thanks.
Nakumbuka mara ya kwanza kupigishwa chuma....mikono ilikua hainyooki kabisa!! Nikinyoosha ina uma daaahNenda pole pole, nimetoa maelezo kwa mtu ambaye ni beginner aanzeje na afanyaje.
Hayo maumivu yanapita soon.
Yeah idea zipo mingi kulingan katk mazngra yakk kuna nin.....Yea ni hizi nilikua nimetengenezea cocktail lakini siku zinapita vitu vipya vinaibuka hivyo tutaendelea kugeana maujuzi.
eneo gani?nipo dar
mbezi beach hakuna local mkuu au maeneo ya tegeta?Kila gym ina range yake.
Mfano mtaani kwangu kwa mwezi ni elfu kumi kwa siku session moja ni mia tano.
Kuna sehemu ukilipa elfu tano ndiyo haulipi tena.
Ila hizi ni zile local.
Advanced iliyo na kila kitu ni kuanzia elfu hamsini (Gongo la Mboto mwaka jana, sijui mwaka huu) kwa siku elfu tatu kwa session.
Sinza Mapambano elfu mbili kwa session, Home Gym sinza nafikiri ni elfu mbili pia.
Home Gym Kigamboni, elfu ishirini kwa Mwezi na elfu moja kwa siku (ni local usitishike na jina).
Mbeya, Soweto gym ni elfu thelathini kwa mwezi na elfu mbili kwa session (mwaka jana sijui mwaka huu).
So ni wewe tu na eneo ulilopo mkuu.
Msasanieneo gani?
mkuu kiafya zoez ile effective kabisa masaa mangap?Tafuta partner.
Au seti goals zako za kuzifikia kila baada ya wiki mbili.
Effectiveness katika zoezi haipimwi umefanya zoezi kwa muda gani, ila ni vile utakavyokua serious katika kufanya zoezi lako.mkuu kiafya zoez ile effective kabisa masaa mangap?
azura laki na nusuMsasani