Jinsi ya kutengeneza maziwa mtindi

Nyendo

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,194
4,112
JINSI YA KUTENGENEZA MAZIWA YA MTINDI/ MAZIWA YA MGANDO (YOUGHURT)

Vipimo:


➡
Maziwa fresh/maziwa ya maji lita 1
➡
Maziwa mtindi vijiko 6

Maelekezo:
  1. Pasha moto maziwa katika sufuria hadi yawe na joto ukishika na kidole (vugu vugu).Tia mtindi kisha koroga vizuri kuhakikisha umejichanganya vizuri hakuna mabuja. Tumia whisk kwa urahisi
  2. Mimina mchanganyiko wako katika bakuli au chombo kisafi unachotaka kugandishia maziwa yako.
  3. Funikia bakuli lako au chombo chako na mfuniko kisha weka katika sehemu ya joto uache kwa muda wa masaa 6-7.
  4. Mtindi mzito na mtamu tayari kwa kuliwa.

Matumizi ya maziwa mtindi:

*Unaweza kunywa hivi hivi kama kinywaji au dessert.
*Unaweza kutumia kama mboga ukala kwa ugali au wali
*Unaweza kuweka kwenye salad/kachumbari
*Unaweza kuweka kwenye mchanganyiko wa matunda/fruit salad
*Kufanyia marination ya samaki, nyama au kuku
*Kwenye mapishi mbalimbali kama biriani, keki, maandazi, kaimati, biskuti, visheti, ice cream, lambalamba n.k
*Kwenye masuala ya urembo n.k

FAIDA ZA MTINDI

Kitu kimoja ambacho hamukuelimishwa maishani ni juu ya maziwa ya MTINDI (maziwa mgando) kuwa ndio maziwa salama na yenye afya zaidi ya maziwa fresh, ni pale tu kama utajua kuwa maziwa fresh katika usagikaji wake tumboni huchukua mdaa mrefu zaidi ya masaa 53 (hamsini na tatu).

Pili faida za maziwa ya fresh ni chache sana , Narudia kwa maandishi makubwa kuwa FAIDA ZA MAZIWA FRESH NI CHACHE ukilinganisha na faida zipatikanazo kwenye maziwa MTINDI. Hebu tazama kwa ufupi tu faida za maziwa ya MTINDI, na kisha ujitwalie glass yako ya maziwa ya mtindi leo kwa manufaa zaidi:
  1. Maziwa ya mtindi yana bacteria ambaye husaidia mfumo wa chakula kwa mtoto mdogo kuwa sawa.
  2. Maziwa ya mtindi yana bacteria ambaye husaidia katika usagaji wa chakula tumboni.
  3. Maziwa ya mtindi yana bacteria ambaye husaidia kushambulia vijidudu vinavyo jificha tumboni visababishao magonjwa ya tumbo.
  4. Maziwa ya mtindi yana bacteria ambaye husaidia kupunguza madhara ya bacteria wa vidonda vya tumbo.
  5. Maziwa ya mtindi yana bacteria ambaye husaidia kuleta nafuu ya maumivu kwa watu wenye vidonda vya tumbo.
  6. Unaweza kujipaka maziwa ya mgando kwenye ngozi hasa kama unashida ya ngozi mfano wa mapunye, miwasho, fungus n.k.
  7. Kwa mwanamke mwenye kuhisi miwasho , uchafu , fungus kwenye uke wake anaweza jioshea maziwa ya mtindi kuondoa na kutibu kabisa hali yoyote kama hizo.
  8. Maziwa ya mtindi yana bacteria ambaye husaidia kuzuia bacteria wasababishao uvimbe(Saratani) hasa maeneo makuu tumboni, mifupa, ngozi, tumboni n.k.
  9. Hufungua choo kwa mtoto mdogo mwenye shida ya choo kwa kipindi kirefu.
  10. Hufungua mfumo wa chakula hasa kwa mtu ambaye ameshinda bila kula kwa siku nzima.

Bonus: Tiba ya tumbo linalouma, kichefu chefu, kuhalisha (kuhara) sumu tumboni n.k. Kama ningeandika faida zote 66 za maziwa ya mgando hapa wenda wote tungechoka kusoma ila yapo makosa haya tunafanya kwenye maziwa hayo na hivyo kuwa hatari zaidi, nayo ni tabia ya kuongeza sukari mbichi kwenye maziwa hayo ni makosa kwani hugeuka kuwa sumu badala ya tiba wala afya.

1574167923227.png
 
Umeshafanya research juu ya mtu mwenye vidonda vya tumbo kutumia maziwa ya mtindi au ni hisia zako tu Mkuu?
 
JINSI YA KUTENGENEZA MAZIWA YA MTINDI/ MAZIWA YA MGANDO (YOUGHURT)

Vipimo:


View attachment 1266709Maziwa fresh/maziwa ya maji lita 1
View attachment 1266710Maziwa mtindi vijiko 6

Maelekezo:
  1. Pasha moto maziwa katika sufuria hadi yawe na joto ukishika na kidole (vugu vugu).Tia mtindi kisha koroga vizuri kuhakikisha umejichanganya vizuri hakuna mabuja. Tumia whisk kwa urahisi
  2. Mimina mchanganyiko wako katika bakuli au chombo kisafi unachotaka kugandishia maziwa yako.
  3. Funikia bakuli lako au chombo chako na mfuniko kisha weka katika sehemu ya joto uache kwa muda wa masaa 6-7.
  4. Mtindi mzito na mtamu tayari kwa kuliwa.

Matumizi ya maziwa mtindi:

*Unaweza kunywa hivi hivi kama kinywaji au dessert.
*Unaweza kutumia kama mboga ukala kwa ugali au wali
*Unaweza kuweka kwenye salad/kachumbari
*Unaweza kuweka kwenye mchanganyiko wa matunda/fruit salad
*Kufanyia marination ya samaki, nyama au kuku
*Kwenye mapishi mbalimbali kama biriani, keki, maandazi, kaimati, biskuti, visheti, ice cream, lambalamba n.k
*Kwenye masuala ya urembo n.k

FAIDA ZA MTINDI

Kitu kimoja ambacho hamukuelimishwa maishani ni juu ya maziwa ya MTINDI (maziwa mgando) kuwa ndio maziwa salama na yenye afya zaidi ya maziwa fresh, ni pale tu kama utajua kuwa maziwa fresh katika usagikaji wake tumboni huchukua mdaa mrefu zaidi ya masaa 53 (hamsini na tatu).

Pili faida za maziwa ya fresh ni chache sana , Narudia kwa maandishi makubwa kuwa FAIDA ZA MAZIWA FRESH NI CHACHE ukilinganisha na faida zipatikanazo kwenye maziwa MTINDI. Hebu tazama kwa ufupi tu faida za maziwa ya MTINDI, na kisha ujitwalie glass yako ya maziwa ya mtindi leo kwa manufaa zaidi:
  1. Maziwa ya mtindi yana bacteria ambaye husaidia mfumo wa chakula kwa mtoto mdogo kuwa sawa.
  2. Maziwa ya mtindi yana bacteria ambaye husaidia katika usagaji wa chakula tumboni.
  3. Maziwa ya mtindi yana bacteria ambaye husaidia kushambulia vijidudu vinavyo jificha tumboni visababishao magonjwa ya tumbo.
  4. Maziwa ya mtindi yana bacteria ambaye husaidia kupunguza madhara ya bacteria wa vidonda vya tumbo.
  5. Maziwa ya mtindi yana bacteria ambaye husaidia kuleta nafuu ya maumivu kwa watu wenye vidonda vya tumbo.
  6. Unaweza kujipaka maziwa ya mgando kwenye ngozi hasa kama unashida ya ngozi mfano wa mapunye, miwasho, fungus n.k.
  7. Kwa mwanamke mwenye kuhisi miwasho , uchafu , fungus kwenye uke wake anaweza jioshea maziwa ya mtindi kuondoa na kutibu kabisa hali yoyote kama hizo.
  8. Maziwa ya mtindi yana bacteria ambaye husaidia kuzuia bacteria wasababishao uvimbe(Saratani) hasa maeneo makuu tumboni, mifupa, ngozi, tumboni n.k.
  9. Hufungua choo kwa mtoto mdogo mwenye shida ya choo kwa kipindi kirefu.
  10. Hufungua mfumo wa chakula hasa kwa mtu ambaye ameshinda bila kula kwa siku nzima.

Bonus: Tiba ya tumbo linalouma, kichefu chefu, kuhalisha (kuhara) sumu tumboni n.k. Kama ningeandika faida zote 66 za maziwa ya mgando hapa wenda wote tungechoka kusoma ila yapo makosa haya tunafanya kwenye maziwa hayo na hivyo kuwa hatari zaidi, nayo ni tabia ya kuongeza sukari mbichi kwenye maziwa hayo ni makosa kwani hugeuka kuwa sumu badala ya tiba wala afya.

Mbona nikifanya mtindi wangu hauwi mzito nifanyeje ?
 
akitoka mungu ni mzungu mkuu.

em fanaya uwasuse wazungu na products zao tuone kama unaweza hata kuni reply hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kufanya kwao mengi sio hoja ya wewe kudharau cha kwako.

Kama ambavyo wazungu wengi wanatetea ushoga lakini sisi tunaukataa,sasa tukienda kama unavyotaka wewe maana yakena ushoga tusiukatae ati kwa kuwa tu wanatuletea products mbalimbali,

sio mawazo sahihi hata kidogo kuwatukuza wazungu kwa kiwango chako mkuu ati kwa kuwa wazungu ndo kila kitu ndiooo.
 
Kufanya kwao mengi sio hoja ya wewe kudharau cha kwako.

Kama ambavyo wazungu wengi wanatetea ushoga lakini sisi tunaukataa,sasa tukienda kama unavyotaka wewe maana yakena ushoga tusiukatae ati kwa kuwa tu wanatuletea products mbalimbali,

sio mawazo sahihi hata kidogo kuwatukuza wazungu kwa kiwango chako mkuu ati kwa kuwa wazungu ndo kila kitu ndiooo.
ethics sio vitu absolute...zinatofautiana jamii na jamii na zinabadilika by time

ukifa ukafufuka after 1000yrs unaweza kukuta ushoga ni kitu cha kawaida na kuzaa watoto wengi kitu cha ajabu.
Juzi tu uganga ulikuwa sifa nzuri na mganga aliheshimiwa kijijini Leo uganga ni kitu cha aibu wanaenda kujificha mbali huko


ila hygene na science ni vitu absolute hata ukifa ukafufuka baada ya miaka 1000 ukinywa cyanide sumu utakufa tu.

bila ngozi nyeupe hata hawa madaktari wa bongo wasiojua kitu tusingekuwa nao.

mkuu tupa maziwa yakiharibika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ethics sio vitu absolute...zinatofautiana jamii na jamii na zinabadilika by time
Wewe ulipozungumzia mtindi umezungumzia wakati huu tuliopo na wala sio miaka 100 mbele au nyuma,basi na mimi ushoga nimezungumzia kwa sasa hivi na wala sio miaka 100 mbele huko.

Pengine wewe huo mtindi unaoubeza huko miaka 100 mbele wazungu wakaona kuunywa ni kitu cha kawaida tu,kwa sababu tafiti za kisayansi bado zinakua kama unavyofahamu kumekuwa na mapinduzi ya nadharia nyingi za kisayansi.


ila hygene na science ni vitu absolute hata ukifa ukafufuka baada ya miaka 1000 ukinywa cyanide sumu utakufa tu.
Kumbuka hata sayansi kuna nadharia huja baadae kusahihisha nadharia ya zamani,sasa pengine na hao wazungu wakaja na nadharia nyingine kuhusu mtindi wakaona unafaa pia kuunywa,hapo mbeleni hatujui acha tuzungumze sasa.

Ila concept yangu umeielewa kuwa sio kila cha mzungu anachofanya wewe ukishupalie ati kwa kuwa wanatuletea product.

Kama unaona sawa basi itabidi mimi na wewe tuhamasishe watoto wetu na familia zetu wawe mashoga waige hao wazungu mkuu.

Hakuna kisichobadilika,hata hizo sayansi unazosema nadharia zake zinabadilika pia.

Zamani ilikuja nadharia ya kuwa dunia ndio centre of universe,ikaja ikapingwa na wanasayansi wengine kuwa jua ndio centre of universe,hizi zote ni theory za kisayansi ambazo zinabadilika lakini wewe unatuaminisha kuwa hazibadiliki.

Usiwatukuze wazungu kiasi hiko mkuu
 
Wewe ulipozungumzia mtindi umezungumzia wakati huu tuliopo na wala sio miaka 100 mbele au nyuma,basi na mimi ushoga nimezungumzia kwa sasa hivi na wala sio miaka 100 mbele huko.

Pengine wewe huo mtindi unaoubeza huko miaka 100 mbele wazungu wakaona kuunywa ni kitu cha kawaida tu,kwa sababu tafiti za kisayansi bado zinakua kama unavyofahamu kumekuwa na mapinduzi ya nadharia nyingi za kisayansi.



Kumbuka hata sayansi kuna nadharia huja baadae kusahihisha nadharia ya zamani,sasa pengine na hao wazungu wakaja na nadharia nyingine kuhusu mtindi wakaona unafaa pia kuunywa,hapo mbeleni hatujui acha tuzungumze sasa.

Ila concept yangu umeielewa kuwa sio kila cha mzungu anachofanya wewe ukishupalie ati kwa kuwa wanatuletea product.

Kama unaona sawa basi itabidi mimi na wewe tuhamasishe watoto wetu na familia zetu wawe mashoga waige hao wazungu mkuu.

Hakuna kisichobadilika,hata hizo sayansi unazosema nadharia zake zinabadilika pia.

Zamani ilikuja nadharia ya kuwa dunia ndio centre of universe,ikaja ikapingwa na wanasayansi wengine kuwa jua ndio centre of universe,hizi zote ni theory za kisayansi ambazo zinabadilika lakini wewe unatuaminisha kuwa hazibadiliki.

Usiwatukuze wazungu kiasi hiko mkuu
nadharia gan ya hygiene iliyobadilika.

Anyways wazungu wametuzidi akili,sayansi,teknolojia mkuu hilo halipingiki.

kuhusu ethics hiyo haihusiani kwasababu ethics zinategemeana na jamii kwa jamii.na wazungu hawatulazimishi kuwa mashoga

wazungu sio standard ya ethics..ila hivo vitu nlvotaja(sayansi,teknolojia,maendeleo) wao ndo pioneers

Ushoga umekuwepo enzi na enzi hata B.C huko au Sodoma na Gomora walikua wazungu?
 
nadharia gan ya hygiene iliyobadilika.
Mkuu lazima ukubali kuwa mambo ya kisayansi huwa yanabadilika kwa ujumla wake kutokana na ukuaji wa tafiti na wataalamu mbalimbali,hili usilipinge kwa sababu shahidi zipo.

Kihusu hygiene mimi siwezi kujua huko lakini concept yangu kuwa sayansi kwa ujumla wake inabadilika nadharia zake.


Wewe unaeupinga mtindi sio kwamba ulishuhudia mtu kala kafa laa,ila tuu kwa sababu wamesema wazungu basi unapooonda yani.

Maana yake ni kuwa kinachokufanya uukatae mtindi sio kwa sababu ulishuhudia madhara kwa fulani,bali ilw nadharia tu ya mzungu kuwa ni maziwa yaliyochacha bila kuonekana athari yake katika mazingira ya maisha basi nadharia hiyo ndo inakufanya ufanye dharau hizo.


Anyways wazungu wametuzidi akili,sayansi,teknolojia mkuu hilo halipingiki.
Ndio halipingiki,sasa kama halipingiki ndo hata ushoga pia huwezi kuupinga kwa sababu hawapingiki katika mambo hayo ?

😀😀 hapa naona kama unaabudu wazungu tu sioni lengine.


Kwa sababu kuwa mkweli mtu katika mambo mengi hakumpi uhalali wa kusema uongo katika mambo machache.
 
Mkuu lazima ukubali kuwa mambo ya kisayansi huwa yanabadilika kwa ujumla wake kutokana na ukuaji wa tafiti na wataalamu mbalimbali,hili usilipinge kwa sababu shahidi zipo.

Kihusu hygiene mimi siwezi kujua huko lakini concept yangu kuwa sayansi kwa ujumla wake inabadilika nadharia zake.


Wewe unaeupinga mtindi sio kwamba ulishuhudia mtu kala kafa laa,ila tuu kwa sababu wamesema wazungu basi unapooonda yani.

Maana yake ni kuwa kinachokufanya uukatae mtindi sio kwa sababu ulishuhudia madhara kwa fulani,bali ilw nadharia tu ya mzungu kuwa ni maziwa yaliyochacha bila kuonekana athari yake katika mazingira ya maisha basi nadharia hiyo ndo inakufanya ufanye dharau hizo.



Ndio halipingiki,sasa kama halipingiki ndo hata ushoga pia huwezi kuupinga kwa sababu hawapingiki katika mambo hayo ?

hapa naona kama unaabudu wazungu tu sioni lengine.


Kwa sababu kuwa mkweli mtu katika mambo mengi hakumpi uhalali wa kusema uongo katika mambo machache.
Haya mambo ya wazungu tuachane nayo maana naona kila ukiwawaza unawaza na ushoga.


hii mambo ya maziwa nimeanza kuifikiria nkiwa darasa la tano.

mfano mtu anakupa faida za mtindi: inaongeza calcium mwilini
Husaidia ukuaji wa mifupa
nk. nk.

Sasa unabak unajiuliza inamaana maziwa yakiwa fredh hayana calcium mpaka yaharibike? yakiharibika yanaongezeka nini?
utagundua maziwa kuharibika ni kuvunjika kwa protein stucture yake due to chemicals produced by bacteria.
Sasa protein structure iliyoharibika ikiingia mwilini ina faida gani?
Utagundua haina faida yoyote ni uchafu wa kupeleka chooni.
zile non protein components kwenye maziwa kama Calcium ndo haziharibiki..lakini hata kwenye fresh zipo

sasa utagundua kuwa
1. hakuna kitu kipya kwenye mtindi ambacho hakipo kwenye maziwa fresh tena infact maziwa fresh yana nutrients nyingi kuliko mtindi.
2.mtindi una uchafu mwingi(denatured proteins) zisizo na faida mwilini
3.Mtindi una bacteria ambazo zinaweza kuleta magonjwa
 
Back
Top Bottom