Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,675
Mtu ajitokeze kukadiria umri wangu degedege
wewe ulizaliwa wakati ugonjwa wa degedege unatamba sana!miaka ya 80!
Mtu ajitokeze kukadiria umri wangu degedege
ah wapi wewee!kibint cha miaka 16 kijiite Kongosho?kongosho sounds like kongoroka so umri upo wa kutosha!lol!
Mc TC
unataka kunishika pabaya sasa
hapo hapo ishia
nionee huruma
huu utani wa kiongo karibu na ukweli huwa siupendi kweli
itakuwa una 50 something..
Hahahaha wewe..weweee!
Lazima nikudunde nikikukamata! Heheheheee....ila umepatia. I am 59 now.
Hahahaha wewe..weweee!
Lazima nikudunde nikikukamata! Heheheheee....ila umepatia. I am 59 now.
Mc TC
unataka kunishika pabaya sasa
hapo hapo ishia
nionee huruma
huu utani wa kiongo karibu na ukweli huwa siupendi kweli
Maneno ya ovyooo na mitusi(20-30)
Hahahaha wewe..weweee!
Lazima nikudunde nikikukamata! Heheheheee....ila umepatia. I am 59 now.
hahahahaha nimekumbuka hii
Hivi zile ban huwa unazipataga huku au kule, maana kule sijakuona kabisa!!I'm an old man!
Kwa kutazama avatar na maandishi yangu kadiria umri wangu...
Hivi zile ban huwa unazipataga huku au kule, maana kule sijakuona kabisa!!
I'm an old man!
hiyo avatar yako mkuu utafikiri ngorongoro crater..
Kwenye majukwaa ya jazba.....Kule ndo wapi huko?
For sure you are one smelly old gig
Niambie umri wangu...
ok usijali!ushauri wa bure jibadilishe jina liwe la kisista du uwabambe viserengeti!jiite sweet konnie uone!si unaona watu wakimcheki preta jina na avatar wanadhani ni kasichana kumbe ni mama yangu mdogo!teh!teh!preta akija hapa sijui itakuwaje!ngoja nikimbie!