Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wakuu nahitaji kufungua kampuni itakayo shughulika na masuala ya IT, makao yake makuu ningependelea yawe Dar na vilevile kuwe na matawi mikoani. Bado sijaandaa ofisi. Kuna uwezekano wa kupata usajili?
Naombeni msaada wa hatua za kufuata ili kwanza ikiwezekana nipate usajili wa jina la kampuni kama inawezekana!!

kuna aina tatu (3) za makampuni.
1. sole proprietor (una endesha biashara mwenyewe)
2. partnership (ya watu wawili au zaidi).
3.Limited Company.

tunaweza kukusaidia kusajili ninapatikana 0767 102102, 0655 308308. email: cerengeti@gmail.com
 
kuna aina tatu (3) za makampuni.
1. sole proprietor (una endesha biashara mwenyewe)
2. partnership (ya watu wawili au zaidi).
3.Limited Company.

tunaweza kukusaidia kusajili ninapatikana 0767 102102, 0655 308308. email: cerengeti@gmail.com

Kabla sijawapigia simu ningependa kufahamu mambo machache kutoka kwenu

1. Inawezekana kufungua/ kusajili kampuni kabla ya kuwa na ofisi?

2.Sheria mpya inayoruhusu mtu mmoja kumiliki kampuni imeanza kazi?

3. Gharama zenu katika kusaidia haya mambo zimekaaje?

4. Unahitajika kuwa na mtaji kiasi gani ili uruhusiwe kusajili hiyo kampuni na mamlaka husika?

Mungu awabariki sana
 
Unahitajika kuwa na mtaji kiasi gani kwasasa ili uweze kusajiliwa na hao brella? Na vipi kuhusu physical location (ofisi)? Ni lazima iwepo kwanza? Natanguliza shukrani
 
Inatakiwa Niandae shilling ngapi ili kukamilisha zoezi la kusajili kampuni kwa mafano, consultancy au general supply company? Naomba wenye wanipe data kamili juu ya hii issue ili nijipange vizuri.
 
KAMPUNI USAJILI

Utangulizi

Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni haki ya wale ambao wanataka kujiunga na kujigawa katika kampuni kwa mujibu wa sheria zilizopo za kampuni.
Sheria ya Makampuni, 2002

Kuna aina nne kuu ya makampuni kama ifuatavyo: -

Makampuni binafsi.
Non-makampuni binafsi (Umma).
Makampuni ya kigeni (makampuni kuingizwa nje ya Tanzania).
Mashirika ya Umma au hali inayomilikiwa makampuni.

(A) Private makampuni

Makampuni # Private ni kawaida kufanyika kwa watu wenye mahusiano kabla wengine kuliko mfano tu ya biashara na uhusiano Baba na mwana na au wa kike, marafiki nk

# Kima cha chini cha idadi ya uanachama kwa kampuni binafsi ni mbili na upeo ni hamsini ukiondoa watu ambao kuwa mwanachama kwa nguvu ya kuwa wafanyakazi wa kampuni.

# Hisa za makampuni haya si kwa hiari transmissibel. transferability ni chini ya udhibiti mkali na kanuni, kama vile, hizi aina ya makampuni yanaweza si kuorodhesha katika soko la hisa kwa madhumuni ya biashara katika hisa.

# Aina hii ya makampuni wanatakiwa kuwasilisha anarudi kila mwaka na nyingine yoyote ya kisheria nyaraka filable kwa Msajili (Mabadiliko mfano wa maelezo ya wakurugenzi, mabadiliko ya kampuni nk majina). Ujazaji ada ni kulipwa na pia adhabu kwa ajili ya kufungua jalada ni marehemu pia inayotozwa.
(B) Non-makampuni binafsi (umma)

Makampuni # Umma ni wazi kumalizika, na kuna kizuizi hakuna juu ya upeo wa idadi ya wanachama, wakati idadi ya chini ni saba.

# Mtu yeyote anaweza kujiunga na kununua hisa katika kampuni hiyo, ambayo inaweza kuwa waliotajwa katika soko la hisa na kufanyiwa biashara katika hisa.

# Mmoja hali kwa kuchanganya na haya aina ya makampuni ni utoaji wa prospectus ambayo malengo, mapendekezo ya mji mkuu wa hisa, chanzo cha fedha na matarajio mkuu wa kampuni ni alisema. Prospectus ni kiini katika mwaliko kwa umma kwa ujumla kujiunga kwa hisa.

# Kampuni binafsi inaweza kubadilishwa kuwa moja tu ya umma kwa kurekebisha Makala yake ya Chama, kuongeza idadi ya chini ya saba na kutoa prospectus.

# Hizi aina ya makampuni ya haja ya kuwa na makala nzuri sana ya chama kusimamia mahusiano yao kati ya wanachama wenyewe, kati ya wanachama na wakurugenzi, kati ya wafanyabiashara na mawakala wa hisa (katika kesi ya kampuni zilizoorodheshwa) na soko la hisa.
(C) ya Nje makampuni (makampuni kuingizwa nje ya Tanzania)

# Haya ni makampuni kuingizwa nje ya Tanzania. Ofisi zao katika Tanzania ni kutibiwa kama matawi ya kampuni ya kigeni. Hata kama wote mteja na au wanahisa ni raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, makampuni zinaonekana kama za kigeni. Wao ni iliyosajiliwa chini ya sehemu ya XII Cap.212.

# Utaratibu Usajili wa aina hii ya makampuni ni pamoja na kuwasilisha wa: -

Kuthibitishwa nakala ya Mkataba na Sheria ya Chama.
Ilani ya eneo la ofisi za usajili katika nchi ya kikao.
Orodha ya Wakurugenzi wa kampuni.
Watu wakazi wa nchi ambao ni wawakilishi wa kampuni.


# Ada inayolipwa ni Marek
 
Habari wanajamiiforums,

Naomba msaada kwa anaelewa procedure ya kusajili kampuni anipe idea, natakiwa kuanzia wapi na ninatakiwa niwe na vigezo gani stahili? Kampuni ninayotaka kufungua ni ya kuuza spares za generators, maintenance pamoja installation ya electrical works in general.

Nashkuru kwa yeyote atakakaenipatia msaada.
 
andaa Memorandum of association na article of associations,unaweza kufanya wewe au mwnasheria,company minimum muwe watu wawili,wewe unaweza kupata business name,au kutafuta mtu wa pili na kumpa sharee kusudi umeet kigezo cha kuwa na watu wawili wa minimum kwa private company
 
andaa Memorandum of association na article of associations,unaweza kufanya wewe au mwnasheria,company minimum muwe watu wawili,wewe unaweza kupata business name,au kutafuta mtu wa pili na kumpa sharee kusudi umeet kigezo cha kuwa na watu wawili wa minimum kwa private company
 
Wakuu
naomba taratibu zinazotakiwa mpaka kampuni ni full registered include tax clearance na trading licence
kampuni hii ipo Botswana na inataka kufungua branch Tanzania
 
Wakuu
naomba taratibu zinazotakiwa mpaka kampuni ni full registered include tax clearance na trading licence
kampuni hii ipo Botswana na inataka kufungua branch Tanzania

tafuta ofisi za BRELLA wana criteria zote juu ya hitaji lako kaka.
 
Wana JF naomba mwenye taarifa za taratibu za kusajili kampuni ya madini pale nyumbani Tanzania anisaidie.

Natanguliza shukrani zangu.


Unaenda BRELA ukishapata certificate unaenda TRA kupata TIN no na Tax clearance then unaenda manispaa, halmashauri kupata leseni. Ukitoka hapo unachukua certificates zote ulizopata katika kila hatua na kupeleka benki kwa ajili ya kufungua akaunti
 
wakuu nahitaji kufungua kampuni itakayo shughulika na masuala ya it, makao yake makuu ningependelea yawe dar na vilevile kuwe na matawi mikoani. Bado sijaandaa ofisi. Kuna uwezekano wa kupata usajili?
Naombeni msaada wa hatua za kufuata ili kwanza ikiwezekana nipate usajili wa jina la kampuni kama inawezekana!!

mungu akubariki nasi tunasubiri ajira kwako maana tz imekuwa ngumu
 
Back
Top Bottom