Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Siku mbili kutafuta duplicate!!sh&*T hii nchi.no wonder kijana wa miaka 40 anaitwa mzee.
 
Mkuu consultancy firm (ni company just like any company) hivyo lazima isajiliwe ili iweze kujulikana kisheria.

Ukienda TRA wana uhuni mmoja mbaya sana wa kutengenezea TIN na kukupa makadirio ya mapato then siku ya kukupatia certificate wanakuambia ulipie first installment hata kama hujaanza kufanya biashara, yamenikuta 3 good times.
 
Mkuu consultancy firm (ni company just like any company) hivyo lazima isajiliwe ili iweze kujulikana kisheria.

Ukienda TRA wana uhuni mmoja mbaya sana wa kutengenezea TIN na kukupa makadirio ya mapato then siku ya kukupatia certificate wanakuambia ulipie first installment hata kama hujaanza kufanya biashara, yamenikuta 3 good times.

mimi mwenyewe mkuu yamenikuta ..........nilikuwa nafuatilia TIN number yangu ya duka la hardware & Building materials. Mama mmoja alinishikia bango vibaya mno.....ati kalipe kwanza then ndo uchukue Certificate .........ilinibidi mkuu nifanye hivo.
 
jamani mimi mchakato nimeufatilia kwa karibu na nimeelewa,lakini dukuduku langu ni kwamba! je achilia mbali na jina litakalopendekezwa na kiasi cha fedha ninachopaswa kugharamia, je napaswa niwe na vigezo gani {mfano elimu au umri n.k} na halafu kuna faida gani ambazo nitazipata dhidi ya mtu yule ambaye hamiliki au hana kampuni? naombeni mnifungue macho tafadhalini ndugu zangu.
 
Kwanza ni name search na kiutaratibu hii inachukua siku saba za kufanya kazi, baada ya hapo ni hizo document muhimu ambazo ni Memorundum and Article of association ambayo kiutaratibu lazima ziandaliwe na mwanasheria ikiwa ni pamoja na sahii za madirector wa kampuni husika na ya wakili msomi alieziandaa na kisha ofisi za msajiri wa makampuni ambapo utalipia fees kuliangana na itakavyoonekana katika mtaji wa kampuni tarajiwa, baada ya kulipia na kupatiwa receipt itakuwa na jukumu la msajiri wa kampuni kuisajiri na wewe kupatiwa Certificate of Incorporation kama ishara na ushahidi wa kampuni kusajiriwa.
 
Wana-forum, wana-ICT je, hapa solution haiwezi kutengenezwa kurahisisha hii process yote? Kwa nini nifike pale BRELA ili kuchukua form tu? Name search kuchukua couple of days is not acceptable level of service wakati technology ipo kurahisiha these name searches. Kwani huko uwani, wana-search mafaili manually? Kwa mwendo huu hatutafika kamwe.
 
Kwa nyongeza, hatua ya kwanza should be a "name search", kwahiyo ni lazima uende na barua uliyoiandika ukiomba kuangaliziwa jina. Kwa maana hiyo kwenye hiyo barua yako "utapropose" majina matatu ukiwa umeyapangilia kulingana na "priority order" yako.

Hao watu wa Brela wakishaipokea hiyo barua watakupa kama siku mbili ili waangalie kwenye database yao kama hayo majina (kufuatana na priority order yako) hayajatumika.Ukishajua ni jina lipi limekubaliwa ndipo sasa utatakiwa kuandaa Memorandum of Association na Articles of Associasion kwa kutumia jina lililokubaliwa.

Maelezo zaidi pata kwenye hii link.

Wana-forum, wana-ICT je, hapa solution haiwezi kutengenezwa kurahisisha hii process yote? Kwa nini nifike pale BRELA ili kuchukua form tu? Name search kuchukua couple of days is not acceptable level of service wakati technology ipo kurahisiha these name searches. Kwani huko uwani, wana-search mafaili manually? Kwa mwendo huu hatutafika kamwe.
Unaweza kufanya name searches online. Tizama kwenye website yao sehemu ya "Search Company" - BRELA-Home
Nahisi hii huduma imewekwa muda si mrefu.


Ukikwama kwenye link aliyoweka Chibidu jaribu:
BRELA-Company Registration
 
Wana-forum, wana-ICT je, hapa solution haiwezi kutengenezwa kurahisisha hii process yote? Kwa nini nifike pale BRELA ili kuchukua form tu? Name search kuchukua couple of days is not acceptable level of service wakati technology ipo kurahisiha these name searches. Kwani huko uwani, wana-search mafaili manually? Kwa mwendo huu hatutafika kamwe.

Kwa nyongeza, hatua ya kwanza should be a "name search", kwahiyo ni lazima uende na barua uliyoiandika ukiomba kuangaliziwa jina. Kwa maana hiyo kwenye hiyo barua yako "utapropose" majina matatu ukiwa umeyapangilia kulingana na "priority order" yako.

Hao watu wa Brela wakishaipokea hiyo barua watakupa kama siku mbili ili waangalie kwenye database yao kama hayo majina (kufuatana na priority order yako) hayajatumika.Ukishajua ni jina lipi limekubaliwa ndipo sasa utatakiwa kuandaa Memorandum of Association na Articles of Associasion kwa kutumia jina lililokubaliwa.

Maelezo zaidi pata kwenye hii link.

Hawafanyi update ya database yao mara kwa mara, itakupoteza. Halafu waende kula wapi??
Pengine ni kweli, hata hivyo bado hiyo huduma ya online ina msaada mkubwa jinsi ilivyo, maana majina hayo ni zaidi ya asilimia 95 ya majina yote.
 
ukifuatilia wewe kama wewe duh utachoka, kuna watu wao wanakutolea fasta. kuna jamaa namfahamu ndan ya siku 2 unapata certificate na kila kitu. hana magumashi. kama vp ni pm nikupe namba yake. kumbuka wengi waongo na matapeli.
 
Huko TRA rushwa tu hamna chochote mie nilimpa kijana mmoja pale elfu20 akanifanyia estimate kuwa cjapata faida hivyo ckulipa chochote na TIN namba ya kampuni na directors wote zilitoka free of charge



mimi mwenyewe mkuu yamenikuta ..........nilikuwa nafuatilia TIN number yangu ya duka la hardware & Building materials. Mama mmoja alinishikia bango vibaya mno.....ati kalipe kwanza then ndo uchukue Certificate .........ilinibidi mkuu nifanye hivo.
 
Huko TRA rushwa tu hamna chochote mie nilimpa kijana mmoja pale elfu20 akanifanyia estimate kuwa cjapata faida hivyo ckulipa chochote na TIN namba ya kampuni na directors wote zilitoka free of charge

ulimpa f20 bure iko wp?
 
ni kweli ukienda kichwa kichwa unatobolewa kweli na wale wamama pale mapokezi. Wamekaa kimdako zaidi
 
Mkuu consultancy firm (ni company just like any company) hivyo lazima isajiliwe ili iweze kujulikana kisheria.

Ukienda TRA wana uhuni mmoja mbaya sana wa kutengenezea TIN na kukupa makadirio ya mapato then siku ya kukupatia certificate wanakuambia ulipie first installment hata kama hujaanza kufanya biashara, yamenikuta 3 good times.

hahaha, nilikwenda pale kusajili tin, nikaambiwa nije na risiti ya malipo ya kodi ya miezi 4 nyuma ambayo sikufanya biashara. You knw what i did, niliamua kuachana nao, nikawasusia na litin lenyewe! Ndo maana wtz tunapat shida kulipa kodi! Ooh!
 
Kumbuka, baada ya kusajili kampuni (Incorporation) na kabla ya kuanza biashara utatakiawa kupata leseni ya biashara (business licence) na pia kujisajili kama mlipa kodi (TIN certificate).

Nakutakia mafanikio.

JE PRIVATE COMPANY inasajiliwa namna gani?

Pia Tour Company inasajiliwa vipi?

Leseni ya Tour Operator ni 2000 US $ per year, je utawezaje kulipa bila hujaanza biashara? Kama bado sina wateja nitalipaje kodi?
 
Back
Top Bottom