catrina matemba
Member
- Aug 17, 2017
- 40
- 15
Afu sikia ubuyu hupiki kama ugali fanya hivi chemsha maji pembeni baada ya kuchemka yatie sukari (sukari kali ndo nzuri zaidi) vanilla na radha (kama utapenda) baada ya mchanganyiko wako kuiva ipua hayo maji sasa Chukua beseni au sufuria chini weka ubuyu wako ndani ya beseni Anza kumimina hiyo juice yako kidogo kidogo huku ukiuchanaganya kwa mikono safi
Ila hakikisha pembeni una Unga wa ubuyu ulio changanywa na mchanganyiko huohuo
Baada ya ubuyu wako kuchanganyika vizuri (usiwe rojo) Anza kumiminia ule unga kwa juu ili uwe mkavu mkavu na kutoa ule ubichi alafu uanike upoe ukisha poa ule ugumu hutouona tena Mkuu
Endelea na ujasiliamali nimeuza sana kipindi nipo chuo
Duu aisee asante sana mkuu