Namna ya kupika mandazi ya vanilla na nazi

Calvin75

New Member
Jul 27, 2015
2
5
Mahitaji
  • Unga wa ngano kilo 1
  • Amira vijiko 2 vya chai
  • Sukari vikombe viwili vya kahawa
  • Vanila ya unga nusu kijiko cha chai
  • Chumvi nusu kijiko cha chai
  • Nazi 1 tui zito
  • Mafuta lita 2


Maelekezo​

  • Chemsha mafuta mpaka yachemke, weka unga kwenye bakuli au sufulia.
  • Weka chumvi, amira changanya. Chota mafuta vikombe viwili vya kahawa weka kwenye unga.
  • Changanya vizuri na mwiko ( tumia mwiko sababu mafuta ni ya moto). Endelea kuchanganya na mikono mpaka unga uwe mlaini kabisa.
  • Uchanganyikane na mafuta vizuri, chukua tui weka sukari na vanila. Tui liwe la uvuguvugu, koroga mpaka sukari iyeyuke.
  • Weka kwenye unga, endelea kukan
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom