Huko nje unajisahau mpaka unaunguza maharage. Wa kuchapwa wewe
Aisee huvimbiwi kwelihii nimefanya sana but hua sichemshi maharage ata kidogo,,,najaza maji ya moto sana kwenye chupa isiyopooza then nayaacha usiku mzima asubuhi nakuta yameiva freshiii
Yes, tena sanawewe___ushawahi___kufanya__hivyo
Jaribu mkuu, utafurahiUshauri mzuri aisee, ngoja niangalie jinsi ya kubana matumizi ya gesi/mkaa hapa..
...zoezi gumu kwangu lilikuwa kuosha vyombo pekee...
Soma vizuri mkuuHapa sijaelewa, kwahiyo kazini ndio kila mtu ataenda na kurudi hizo dk 10 na kukuta maharagwe yameiva, au?
Katika ustawi wa afya bora Usafi in muhimu, acha mambo yote yapite but don't compromise na uchafu mkuu, hasa jikoni na chooni.Baadhi ya wazazi wa kike hawakuwapa nafasi vijana wa kiume kupika ndo mana wanaweka uvundo kwenye mageto wanapojitegemea matokeo yake wanajilazimisha kuoa kabla ya wakati