jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,016
- Thread starter
- #61
Nu kweli mkuu,kwenye kupambana kuna kupata na kukosa,na kwenye kupata kuna challenge nyingi mara dufu.Mkuu chase your dream
It will takes some times ila
ukiamini utafika pale
Nataka nikupe mifano ya watu wa Nigeria Sipo ughaibuni ila nilipo nakutana nao
Wana spirit ya ajabu na confidence ya ambayo nashindwa kuielezea hawa jamaa ni washenzi sana kuna wakati na mimi hua najifanya mnaigeria ili niweze kupata baadhi ya vitu kwa haraka japo lafudhi yao inanishinda kidogo
usifunje sheria tu lakini hawa jamaa wanatengeneza ndoa fake ,magonjwa fake,familia fake na sababu fake kibao na wanaingia UK kupiga kazi sana na kwenye mzigo wapo smart balaa ni akili flani ambazo wao wana imani kali sana juu yake
Na sio ndoa tu zipo deal nyingi mpaka unaweza kuchoka kwa jinsi hawa jamaa wanavyopenya kwenye hizi nchi zenye sheria kali za Visa na kisheria wanakua hawajazivunja
Sisi bado hatujapata changamoto nyingi za kimaisha kupambanua uwezo wetu wa kufikiri masuala ya kupitia Eastern Europe ni janja za kiuoga maisha yanaweza kukupiga sana hapo katikati na usitamani kwenda mbele wala kurudi nyuma