KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,213
- 56,849
Usinibishie wakati walishanibinya mpaka maji nikaita mma!hahaha hao ni watu wasio na uwezo wa kujiongeza ndio mostyl hufanya kazi hizo
Usinibishie wakati walishanibinya mpaka maji nikaita mma!hahaha hao ni watu wasio na uwezo wa kujiongeza ndio mostyl hufanya kazi hizo
Ushafeli babu weeeTaka kuona ukinuna.. 😊
ukijipendekeza ndio njia ya kukujua, we si unakumbuka "DAB" aliwahi kumfunga kamba za viatu mtoto wa "JK"? au umesahau?Alaaah kumbe koneksheni muhimu..
Okay.. ngoja nijipendekeze sasa.. nawajua kadhaa mmoja aliwahi kuwa mlinzi wa waziri fulani saivi naona kawa mbunge.. na kuna mzee mmoja ivi ila kwa sasa ni marehemu naona kaingiza mtoto wake wa kike humo
We usiende kwajinsi ulivyo aisee mbona kuna watu tutajikuta tunabinywa pasipo sababu..🤣Alaaah kumbe koneksheni muhimu..
Okay.. ngoja nijipendekeze sasa.. nawajua kadhaa mmoja aliwahi kuwa mlinzi wa waziri fulani saivi naona kawa mbunge.. na kuna mzee mmoja ivi ila kwa sasa ni marehemu naona kaingiza mtoto wake wa kike humo
Sawa..Ushafeli babu weee
hahahha,Usinibishie wakati walishanibinya mpaka maji nikaita mma!
hakuna anaedanganya huu ndio uhalisia wenyewevijana mkiwa kweny vijiwe mna danganyana sana
Hata kumjua simjui😂ukijipendekeza ndio njia ya kukujua, we si unakumbuka "DAB" aliwahi kumfunga kamba za viatu mtoto wa "JK"? au umesahau?
Tafadhali usinitambulishe humu😂We usiende kwajinsi ulivyo aisee mbona kuna watu tutajikuta tunabinywa pasipo sababu..🤣
hahaha personally "NAKUFAHAMU"Tafadhali usinitambulishe humu😂
wacha weeeeHata kumjua simjui😂
Ondoa shaka tithi wewe..Tafadhali usinitambulishe humu😂
wapo kila sehemu hata nyumbani kwenu yawezekana mnaishi maisha ya tabu sana lakini BABA YAKO NI TISSNje ya mada.
Wakuu naomba niulize swali,hivi tiss awahusiki kwenye kunusa au kufanya ushushu kwenye utoroshwaji wa rasilimali za nchi,au wao ni mambo ya usalama wa nchi tu?
weka chanzo chako cha taarifa hapahakuna anaedanganya huu ndio uhalisia wenyewe
Unanifahamu vipi?😂hahaha personally "NAKUFAHAMU"
hahaha ukuiona wakubwa wandiscuss unatakiwa kutuliaweka chanzo chako cha taarifa hapa
mna danganyana sana mnapo kua kweny vijiwe vyenu
Em niache bhanaOndoa shaka tithi wewe..