waweza pia tumia cucusoft youtoube downloader.Hii ni maalum kwa files za youtube tu.
Nilichokinoti ni kuwa wadau mnauliza every process.Hiyo ni ngumu mtu kukupatia.Jaribuni pia kuumiza vichwa once mkishadownload softwares
zilizotajwa na wadau hapo juu!!
Kazi Kwanza!!!!!
Nilichokinoti ni kuwa wadau mnauliza every process.Hiyo ni ngumu mtu kukupatia.Jaribuni pia kuumiza vichwa once mkishadownload softwares
zilizotajwa na wadau hapo juu!!
Kazi Kwanza!!!!!