Download RealPlayer hapa halafu baada ya kuinstall ukienda kwene page yeyote ukasogeza pointer ya mouse kwene video unayotaka kudownload itakupa option ya kudownload, as easy as that.
...or tafuta program inaitwa internet download manager,itakusaidia sana katika ku download video na audio kutoka katika mtandao wowote ule
unaweza kuipata hapa,
Download Internet Download Manager: high speed download accelerator
Au pia kama huitaji kutumia program kuna njia nyingine unaweza kutumia,nenda katika hii website,then fuata maelekezo
KeepVid: Download and save any video from Youtube, Dailymotion, Metacafe, iFilm and more!
note;hii njia ya pili itahitaji computer yako iwe na program ya java.
Mbona mie naitumia ..acha masikhara. Jinsi ya kudownload umeelewa?kiongozi nashukuru nime-instal real player ninayo kwenye pc yangu but bado siwezi kudownload
Mbona mie naitumia ..acha masikhara. Jinsi ya kudownload umeelewa?
...or tafuta program inaitwa internet download manager,itakusaidia sana katika ku download video na audio kutoka katika mtandao wowote ule
unaweza kuipata hapa,
Download Internet Download Manager: high speed download accelerator
Au pia kama huitaji kutumia program kuna njia nyingine unaweza kutumia,nenda katika hii website,then fuata maelekezo
KeepVid: Download and save any video from Youtube, Dailymotion, Metacafe, iFilm and more!
note;hii njia ya pili itahitaji computer yako iwe na program ya java.
Kwa ka-experience kangu kadogo, sijapata tatizo kwene RealPlayer..sometimes huwa option inakuja lakini media inakuwa kweli huezi kuishusha, hii hutokea hasa kwene websites zingine, lakini Youtube sijawahi kuona tatizo..labda unipe link ya mzigo unaotaka kuushusha nijaribu hapa kama inaezekana.Mkuu Adulhalim, huwezi amini mimi pia nilitaka kuuliza same thing. Nashukuru kwamba software iko installed tayari na ile pop up message ya download this video inatokea lakini ukiclick down load inasema unable to download, kuna option ya kuresume ambayo nayo pia doesnt help. May be utupe ushauri zaidi what could be done to complete the process. Ahsante!