Tumekua tukishuudia jinsi umaskini unavyoizamisha Tanzania,asilimia 85%ya waTanzania wanaishi chini ya maisha ya umasikini mkubwa,uku baadhi ya viongozi na wafanyakazi wa umma wakiikwangua na kujikandamizia utajiri wa hali ya juu.viongozi wengi na wafanyakazi wa umma wengi wanachangia 100% kulididimiza taifa kwa wizi,ruswa,kubebana nk.kwa mtazamo wangu,inabidi sasa tuwe makini sana na tukifanya mchezo Bongo katika miaka 10 ijayo itakuwa imefirisika kabisa.nomba maoni yenu jinsi gani ya kulikwamua taifa letu kutoka tulipo sasa na kupigaga maendeleo,naomba watu wasifanye mchezo kwani nitachapisha maoni mazuri na kuyapeleka kwa wausika.
Kitu cha kwanza kwa maoni yangu nadhani tuanze na kupunguza ukubwa wa serikali,kwani tuna wizara nyingi sana na watu wanaofanya kazi kwenye wizara wanatumia mamilioni ya pesa nyinyi sana bila kuzalisha chochote kile,mimi naona kuwe na wizara 7 tu aya nimaoni yangu naomba tusifanye hii kuwa ndio ajenda ,nipe mawazo yako ili tuifanye bongo iwe mfano katika Africa tuna kila kitu na sababu ya kuwa taifa tajiri duniani,au tumetupiwa voodu nini?asanteni naomba maononi yenu .asanteni na karibuni
Kitu cha kwanza kwa maoni yangu nadhani tuanze na kupunguza ukubwa wa serikali,kwani tuna wizara nyingi sana na watu wanaofanya kazi kwenye wizara wanatumia mamilioni ya pesa nyinyi sana bila kuzalisha chochote kile,mimi naona kuwe na wizara 7 tu aya nimaoni yangu naomba tusifanye hii kuwa ndio ajenda ,nipe mawazo yako ili tuifanye bongo iwe mfano katika Africa tuna kila kitu na sababu ya kuwa taifa tajiri duniani,au tumetupiwa voodu nini?asanteni naomba maononi yenu .asanteni na karibuni