Jinsi ya kuondoa madoa na mabaka mwilini

Jinsi ya kuondoa madoa na mabaka mwilini

mimi ninahitaji dawa ya kupunguza uzito, tafadhali msaada katika hili, dont tell me about diet and mazoezi kwa sababu they didnt work out.
 
ndugu hizi dawa za kutumia na sabuni mh naziogopa lazima uwe.mweupeee nishawishi tafadhali nlivokua mjamzito uso wangu uliharibika sana
 
ndugu hizi dawa za kutumia na sabuni mh naziogopa lazima uwe.mweupeee nishawishi tafadhali nlivokua mjamzito uso wangu uliharibika sana
Hii dawa inafanya kazi ya kuondoa mabaka ikishamaliza kazi yake inakuacha ikikufanya un'gae katika ngozi yako ya asili..kama utaendelea kuitumia ukiwa ushamaliza tatizo hapo ndo itakuchubua nna wateja wanaotumia na haikuwachubua...Nipigie tuwasiliane..
 
Habari Za Leo Wanajf!
Naombeni Msaada Wangu Dhidi Ya Dawa Tayoweza Kutumia Kuweza Ondoa Mabaka Usoni,niliungua Kwa Moto Takribani Miaka 25 Iliyopita NIKIWA NA MWAKA MMOJA Hadi Leo Athari Yamoto Inaonekana Kana Kwamb Niliungua Mwaka Mmoja Ulopita.Tangu Kiwa Mdogo Ndg Zangu Na Marafiki Walikua Wakinambia Yataisha Tu Ukiwa Mkubwa Ila Naona Kwa Sasa Umri Unazidi Bila Mabadiliko.NAOMBA SANA UNIELEKEZE NI2MIE DAWA GANI,IKIWEZEKANA HATA UNAGIZIE INAPOPATIKANA KWA DSM AU MZA.
 
Njoo Ofisi zetu za Oriflame posta tukupe ushauri na Tiba..utapona kabisa,,piga 0655868643!usipoteze muda na pia pole kwa tatizo
 
Njoo Ofisi zetu za Oriflame posta tukupe ushauri na Tiba..utapona kabisa,,piga 0655868643!usipoteze muda na pia pole kwa tatizo

Unadhani kwa ambaye angependa kuja, aje na cash sh. ngapi? Ili kuondoka na dawa
 
Unadhani kwa ambaye angependa kuja, aje na cash sh. ngapi? Ili kuondoka na dawa

Dawa zipo za aina nyingi kutokana na aina ya ngozi yako,siwezi kukutamkia cash kabla sijajua aina yako ya ngozi...ila bei zetu ni za kawaida sana.
 
Ngugu zangu naomba msaada wa kuondoa mabaka mabaka fulani(makovu)niliyapata nikiwa mtoto baada ya kuugua,nilikwenda hosp.mbalimbali kwa ajili ya uchunguzi wakaniambia hayo makovu yako kwenye ngozi na si kwenye damu..nimetumia dawa mbali mbali mpaka sasa hakuna lolote...
Msaada tafadhari.

Njoo Oriflame tukupatie tiba..piga 0655868643
 
Njoo Oriflame kuna tiba tena kwa bei nafuu..tutakuangalia ngozi yako ni ya aina gani na kukupa ushauri na tiba pia,,piga 0655868643 tukupe maelekezo
 
Tafadhali naomba msaada kwa
yeyote anaejua dawa ya makovu sugu namaanisha ya muda mrefu naomba
anisaidie kunijuza wapi dawa hiyo inapatikana na ni sh.Ngapi.

Nimetumia Bio-oil haijanisaidia kabisa.
hayo makovu yapo usoni au mwilini?
 
Mbontafo a.k.a habari zako lol
pole sana kwa tatizo ndugu.ila ila ila kama hilo kovu ni la moto usidanganywe humu kuwa eti ipo dawa ya kuliondoa kovu hilo plzzz.mimi niliungua mguu kama miaka 15 Ilopita sehem ya paja nilitumia dawa sana halikutoka nikaamua kwenda ccbrt na likaisha kabisaaa huwezjuakama niliwahi kuungua.
Nakushauri nenda pale ccbrt kuna wataalam wa kuondoa hayo makovu hata kama umepinda mdomo ama uso kutokana na kovu hilo unarudia sura yako kabisa.tena kuna wafadhili wanaofadhili huduma hiyo unachangia kidogo sana.mimi nilienda pale 2010 nilitoa only 75000
kwa huduma zoote tena watoto ni buree
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom