Jinsi ya kuondoa madoa na mabaka mwilini

Jinsi ya kuondoa madoa na mabaka mwilini

Tumia cream ya selevax scar removal,cocoa butter palmer formula na fair & white soap(box la rangi ya blue).mimi ndio natumia hizi...na mie nasumbuliwa na allergy inayoacha makovu bt thank God nw my skin is smooth and healthy...hazichubui....ngozi yako ibaki kuwa na same color inaondoa tu makovu.na kama utaweza gharama nenda kariakoo kwenye maduka ya nguo ya waarabu ulizia mafuta yanaitwa mkorogo wa dubai kopo kuanzia laki na ishirini bt its worth it....haichubui ila ngozi inakua lain kweli kweli na makovu yanaisha.Goodluck

Ahsante mpenz
 
Ingia internet and andika top scar removers creams utapata list ya creams mbali mbali za USA and Europe na maeneo mengine.Ukiisha pata search customers reviews kuhusiana na product hiyo kama wateja wakiisifia unaagiza online kwa kutumia ATM yako yenye mastercard au Visa na utaletewa kupitia sanduku lako la barua au la mwajiri wako
 
Mm nililetewa kutoka omani bada ya mtt kuungua lkn niliuliza dar yapo maduka ya vipodoz
 
Mm nilijaribu kwa makovu ya kuungua kama ni makovu ya chunus yanatoka
 
Hayo mafuta ya lukman yanasaidia na makovu chunusi?maana wahanga tupo wengi.


Mafuta ya Luqman yanatoa makovu yalosababishwa na MOTO

Yanapatikana kariakoo kwenye maduka ya dawa za asili pale shimoni stand ya gari za mwenge

Ahsante
 
suruhisho la matatizo ya ngozi limepatikana! tunayo creme inayoondoa makovu na kurudisha ngozi yako katika hali ya kawaida! kwa kutumia creme hii utaweza kurudisha confidence na kuwa mrembo au mtanashati zaidi wasiliana nasi whatapp 0764014285
 
suruhisho la matatizo ya ngozi limepatikana! kama una tatizo la ngozi lolote la ngozi usione aibu! kwani waswahili walishasema mficha uchi hazai! tunayo creme inayoondoa makovu na kurudisha ngozi katika hali yake ya kawaida wasiliana nasi whats app 0764014285
 
Najuwa kuwa asali na mdalasini unaweza kuirejesha ngozi yako. Tumia kama kinywaji chako kila siku. Na ukiwa home kama uko free kwa maana kuwa hujavaa nguo nyingi uwe unapaka asali kwenye hayo makovu.

Hata hao waasilia sana sana watakutengenezea hiyo na ikizid wataongeza unga wa mlonge.

......pole...
 
suruhisho ya matatizo ya ngozi imepatikana, kwa wale wenye tatizo la makovu na matatizo mengine ya ngozi wasiliana nasi whats app 0764014285
 
Habari za jioni wanaJF,

Kwa anayehitaji dawa ya kutoa madoa doa usoni yatokanayo na chunusi na pia dawa ya kuondoa chunusi.
Wa mikoani pia wanapata siku inayofuata..
Back in stock


Tafadhali piga
Ubarikiwe sana.
Dawa bado imerudi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom