Jinsi ya kuondoa madoa na mabaka mwilini

Jinsi ya kuondoa madoa na mabaka mwilini

Dawa bado ipo kwa bei Nafuu anayeihitaji anitafute. Karibuni sana.
 
Mke wangu ana tatizo la ngozi usoni vichunusi vinamsumbua sana kwa mda mrefu sasa,nimehangaika kwa kila namna bila mafanikio,je kuna mtu anaweza kujua aina ya dawa,au ushauri wa namna ya kuvitoa?,vinamsumbua sana mke wangu jmn vinaacha makovu yenye alama nyeusi,nisaidieni na hajawah kutumia mkorogo!!
 
Mke wangu ana tatizo la ngozi usoni vichunusi vinamsumbua sana kwa mda mrefu sasa,nimehangaika kwa kila namna bila mafanikio,je kuna mtu anaweza kujua aina ya dawa,au ushauri wa namna ya kuvitoa?,vinamsumbua sana mke wangu jmn vinaacha makovu yenye alama nyeusi,nisaidieni na hajawah kutumia mkorogo!!

Inaoneka kwa hivi!!!
 

Attachments

  • 1425401892617.jpg
    1425401892617.jpg
    48.9 KB · Views: 933
pole sana! tiba ipo
ingia jf doctor kuna mada ya makovu mwilini nimeweka namba tumia hizo kwa mawasiliano
 
Mkuu nenda naye kwa Nabii yule wa kule Tanga. We vipi huangalii TV? Wenzake wanapakwa mafuta wanarudi na ngozi mpya baada ya msukule kunyang'anywa. Pole sana ila asiende mwenyewe, nenda naye. Safari hii kila abiria achunge mzigo wake, hata kwenye boot chunga, ukilala umeliwa
 
Mke wangu ana tatizo la ngozi usoni vichunusi vinamsumbua sana kwa muda mrefu sasa,nimehangaika kwa kila namna bila mafanikio,je kuna mtu anaweza kujua aina ya dawa,au ushauri wa namna ya kuvitoa?

Vinamsumbua sana mke wangu jamani vinaacha makovu yenye alama nyeusi,nisaidieni na hajawahi kutumia mkorogo!!

ni pm nitakupa msaada free of charge bila masharti na bada ya wiki 2 utanipa mrejesho
 
Mke wangu ana tatizo kama hili, asante mleta mada, sorry nashindwa kuku-mention, natumia kitochi. Namshangaa huyo aliyejibu kwa kejeli hapo juu.
 
benzoyl peroxide ni nzuri pia.
Kwa kuanzia atumie benzoyl peroxide 2.5 Ila tu awe mvumilivu kwamaana katika wiki 3 za mwanzo hali inaweza ikawa mbaya zaidi, ila hatikiwi kuacha kwa maana baada ya hapo matokeo yake ni mazuri sanaaa, atumie sabuni ya montclr au baby jonson na apunguze kule sweets kama vile pipi na biscuits, pia asiwe mwenye kuzitumbua maana huko ni kusababisha makovu na kuzalisha chunusi mpya
 
Back
Top Bottom