Jinsi ya kuondoa madoa na mabaka mwilini

Jinsi ya kuondoa madoa na mabaka mwilini

sio lazima uoneshe sura yote ila eneo dogo ambalo hatuwezi kukutambua picha itasaidia
 
hyo picha ni mfano wa sehemu iliyoathirika!!
 
Weka picha tukuone ili tuweze kukushauri vizuri. Lakini ujue ndio sura ulokuwa unataka hiyo. Mungu kakupa sura wewe unamkosoa. Hongera kwa kuwa na sura mpya.

nimeeweka picha kiongoz
msaada wako tafadhari!!!
 
duh!! Niliwahi kusikia hapahapa JF BIO OIL huondoa makovu...
 
Ndugu wanajamvi, mimi naomba mnishauri, kuna vipele vinanitoka usoni alafu nikikamua vinatoa maji tu alafu vinauma sana, nimeenda sana hospitali lakini wanasema ni reaction za mwili , na nikipima damu wanasema haina tatizo. Ni vikipona vinaacha madoa meusi. Tafadhari naombeni ushauri
 
Kwnz usivikamue kbs, lkn unaweza tumia dawa ya asili kbs haina madhara;chukua asali kijiko kimoja na juice ya tango lililosagwa na maganda yake kijiko kimoja changanya pamoja weka jikon iache ichemke kwa dk flan epua, iache ipoe pakaa usoni taratibu ,kisha iache km dk flan nawa uso na maji ya uvuguvugu kwa mbal. Fanya hivyo asbh na jion mfululizo km ck 4 alaf leta majibu.kumbk pi kusafisha uso kbl ya kupaka ili uondoe uchafu.
 
Kwnz usivikamue kbs, lkn unaweza tumia dawa ya asili kbs haina madhara;chukua asali kijiko kimoja na juice ya tango lililosagwa na maganda yake kijiko kimoja changanya pamoja weka jikon iache ichemke kwa dk flan epua, iache ipoe pakaa usoni taratibu ,kisha iache km dk flan nawa uso na maji ya uvuguvugu kwa mbal. Fanya hivyo asbh na jion mfululizo km ck 4 alaf leta majibu.kumbk pi kusafisha uso kbl ya kupaka ili uondoe uchafu.

Mkuu,ushauri mzuri sana.Lakini,hizo dk flani ndo zipi? Pamoja na kuwa dawa asilia hazina madhara,lakini pia zina reaction. So nadhani ni vyema ukasema ni muda gani hasa,ili hiyo dawa iweze kufanya kazi vyema.
 
Tumia face wash inaitwa OXY iko poa sana hii sabuni ya uso!! Matunda, maji mengi kunywa + mazoezi !! Believ it.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu,ushauri mzuri sana.Lakini,hizo dk flani ndo zipi? Pamoja na kuwa dawa asilia hazina madhara,lakini pia zina reaction. So nadhani ni vyema ukasema ni muda gani hasa,ili hiyo dawa iweze kufanya kazi vyema.

Kuchemsha isizid dk 5, lkn pia usoni unaweza kaa nayo dk 5 kisha ukanawa.
 
mafuta ya mawese ni dawa nzuri kwa tatizo lako. Yachemshe weka na limao kidogo kukata harufu, yakichemka na kutoka rangi yote yapoze na kuweka kwenye chombo utakachohifadhia kwa matumiz ya kila siku. Nimeachana na lotions and now hayo ndo mafuta yangu, vipele vimeisha
 
Tafadhali naomba msaada kwa yeyote anaejua dawa ya makovu sugu namaanisha ya muda mrefu naomba anisaidie kunijuza wapi dawa hiyo inapatikana na ni sh.Ngapi.

Nimetumia Bio-oil haijanisaidia kabisa.
 
Tafuta hela uende hospitali ya Apolo India ndo kuna tiba nzuri sana.
Kule ndo kuna madaktali, hapa kwetu kuna wajukuu wa madaktari tu-hawana uwezo wa kutibu kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom