Jinsi ya kuondoa madoa na mabaka mwilini

Jinsi ya kuondoa madoa na mabaka mwilini

Tafadhari naomba msaada kwa yeyote anaejua dawa ya makovu sugu namaanisha ya muda mrefu naomba anisaidie kunijuza wapi dawa hiyo inapatikana na ni sh.ngapi.nimetumia Bio-oil haijanisaidia kabisa.

Fanya Shea and cocoa butter iwe rafiki yako itasaidia
 
Tafadhari naomba msaada kwa yeyote anaejua dawa ya makovu sugu namaanisha ya muda mrefu naomba anisaidie kunijuza wapi dawa hiyo inapatikana na ni sh.ngapi.nimetumia Bio-oil haijanisaidia kabisa.
lipo kama hili!
P4080138-46821.JPG
 
tatizo watu mnaleta utan kwenye jukwaa serious,kama huna ushauri kausha
 
Tafuta hela uende hospitali ya Apolo India ndo kuna tiba nzuri sana.
Kule ndo kuna madaktali, hapa kwetu kuna wajukuu wa madaktari tu-hawana uwezo wa kutibu kabisa.

we jamaa kila kitu Ni APOLO INDIA
 
Tafuta hela uende hospitali ya Apolo India ndo kuna tiba nzuri sana.
Kule ndo kuna madaktali, hapa kwetu kuna wajukuu wa madaktari tu-hawana uwezo wa kutibu kabisa.

dah! inaonekana hawa madaktari wa hapa wamekufanyia kitu ovyo sana, maana post zako zote ni India tu, kwa hiyo asipopata hela ya kwenda India ni bora aache tu unamaanisha hivyo?
 
Hakuna cream wala dawa inayoweza kuondoa kovu kubwa njia nzuri ni kufanya laser.
 
Tafuta hela uende hospitali ya Apolo India ndo kuna tiba nzuri sana.
Kule ndo kuna madaktali, hapa kwetu kuna wajukuu wa madaktari tu-hawana uwezo wa kutibu kabisa.

Hujaugua ukatibiwa bongo ,ukitaka kujua kuna madaktari bongo uliza waliotibiwa .
 
Tumia cream ya selevax scar removal,cocoa butter palmer formula na fair & white soap(box la rangi ya blue).mimi ndio natumia hizi...na mie nasumbuliwa na allergy inayoacha makovu bt thank God nw my skin is smooth and healthy...hazichubui....ngozi yako ibaki kuwa na same color inaondoa tu makovu.na kama utaweza gharama nenda kariakoo kwenye maduka ya nguo ya waarabu ulizia mafuta yanaitwa mkorogo wa dubai kopo kuanzia laki na ishirini bt its worth it....haichubui ila ngozi inakua lain kweli kweli na makovu yanaisha.Goodluck
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom