Jinsi ya kuondoa madoa na mabaka mwilini

Jinsi ya kuondoa madoa na mabaka mwilini

Mbontafo a.k.a habari zako lol
pole sana kwa tatizo ndugu.ila ila ila kama hilo kovu ni la moto usidanganywe humu kuwa eti ipo dawa ya kuliondoa kovu hilo plzzz.mimi niliungua mguu kama miaka 15 Ilopita sehem ya paja nilitumia dawa sana halikutoka nikaamua kwenda ccbrt na likaisha kabisaaa huwezjuakama niliwahi kuungua.
Nakushauri nenda pale ccbrt kuna wataalam wa kuondoa hayo makovu hata kama umepinda mdomo ama uso kutokana na kovu hilo unarudia sura yako kabisa.tena kuna wafadhili wanaofadhili huduma hiyo unachangia kidogo sana.mimi nilienda pale 2010 nilitoa only 75000
kwa huduma zoote tena watoto ni buree

Ameline Nashkuru Sna Ndg Yng Kwa Ushaur Wko,nitajitahd Kwenda Ccbrt Ckujua Kma Hii Huduma Wanatoa Ijapo Nilishafka Pale Mara Kadha.Naamin Yataisha Mana Yapo Uson Yanaonekana Hasa Katika Mashavu Na Uson Upande Wakulia Karibu Na Mwishio Wa Nywele Ki2 Ambacho Had Hv Sasa Nywele Hazijaota Vzr
 
jamaa mbishi ww si unaona makalio yanapigwa na upepo tuu hiyo ndio siri ya urembo
 
commiphora guggal humaliza kabisa makovu na mabaka.fika ubungo riverside karibu na shule ya msingi kibangu au piga simu namba 0759 67 15 43 au o716 60 99 16
 
Habari zenu wakuu,

Mie ni mwanaume, kuna tatizo kuhusu ngozi yangu lililoibuka ukubwani - around 30s. Zamani ngozi yangu ilikuwa nyororo sana, sikuwa hata natumia cosmetic yoyote wala kupaka mafuta, ilikuwa nikioga tu basi. Noma ilianza nilipoenda kuishi nchi za watu halafu baadaye nikarudi bongo! Ngozi ilianza kuwa na mabaka mabaka meusi ukizingatia rangi ya ngozi ni "light". Wakati hizo dalili zimeanza nilishauriwa kutumia dawa moja na jamaa moja aliyejiita mganga, dawa hiyo ni "Aloe vera gel", pia alinishauri niwe napaka subblock cream.

Nilikuwa mwoga kujua ninawezaje kupata hiyo gel na cream sahihi na sio feki, na pia kama ni dawa kweli au hapana halafu niishie kuharibika uso? Nilimwona jamaa yangu moja ni mphamasia, tukaangalia hiyo cream na gel kwa pamoja na yeye kwa uzoefu na taaluma yake aliridhika kuwa sio feki na niitumie.

Hazijasaidia kitu hizo dawa na badala yake tatizo linaongezeka. Watu wengi wakiniona wanadai jua limeniunguza. Sasa dawa ya kutibu haya mabaka ni nini? Ni hospitali ipi hapa mjini Dar ina wataalamu waliobobea kutibu magonjwa ya ngozi ili nikawaone?

Kuna mtu yeyote aliyewahi kupata tatizo kama langu, halafu akatibiwa na kupona? Tatizo laweza kuwa ni jua au nini?

Naomba ushauri wa kitaalamu. Ahsanteni.
 
Pole mkuu hilo tatizo ni uso mzima au kwenye macho kama miwani maana nna rafiki yangu yeye imekuwa kama round hivi kwenye macho
 
Pole mkuu hilo tatizo ni uso mzima au kwenye macho kama miwani maana nna rafiki yangu yeye imekuwa kama round hivi kwenye macho

Ahsante mkuu, ni kuzungu macho juu ya nyusi na kidogo sehemu ya shavu. Alitibiwaje rafiki yako?
 
Ahsante mkuu, ni kuzungu macho juu ya nyusi na kidogo sehemu ya shavu. Alitibiwaje rafiki yako?

siunajua mambo ya wanawake mara kapaka manjano mara nyanya kaweka kuzunguka macho kila jioni na weekend anaweka matango kuzunguka macho yupo poa sasa unajua mtu ukipata tatizo kila mtu anakulelekeza dawa yake kwahiyo mwisho wa siku unaweza ukapona na usijue nini kimekutibu lakini haya macream mmh !sikushauri kakangu
 
siunajua mambo ya wanawake mara kapaka manjano mara nyanya kaweka kuzunguka macho kila jioni na weekend anaweka matango kuzunguka macho yupo poa sasa unajua mtu ukipata tatizo kila mtu anakulelekeza dawa yake kwahiyo mwisho wa siku unaweza ukapona na usijue nini kimekutibu lakini haya macream mmh !sikushauri kakangu

Hebu nipe hint mkuu, kuhusu dawa ambayo unadhani ilikuponyesha! Hata kwa PM. Ahsante.
 
mimi ninahitaji dawa ya kupunguza uzito, tafadhali msaada katika hili, dont tell me about diet and mazoezi kwa sababu they didnt work out.
Dawa ya Kupunguza Uzito ,Unene na Mafuta ninayo ukitaka bonyeza hapa.DAWA YA KUPUNGUZA UNENE MAFUTA NA TUMBO

dawa.jpg



 
wanajamvi naomba mnisaidie dawa ya kuondoa madoa usoni yaliyotokana na kukamua chunusi.pls madoctor nisaidieni maana hali ni mbaya sana.

Samahani ndg yangu ulishapata suluhu ya tatizo lako?Km bado tuwasiliane kwa 0655669836 ntakusaidia
 
Tumia tango...usiku kabla ya kwenda kulala osha uso wako kwa maji safi ya uvuguvugu na sabuni unayotumia ukisha osha uso wako kausha vizuri kwa kitambaa safi na kikavu baada ya apo kata tango katika mtindo wa raundi na chukue kipande paka majimaji yake usoni baada ya apo subiri yakauke zen yakishakauka lala na ukiamka asubui nawa kwa kutumia maji ya vuguvugu na sabun unayotumia fanya ivi kwa muda wa wiki tatu utapata matokeo.
 
Habari za asubuhi wanaJF, kwa anaehitaji dawa ya kutoa madoa doa usoni yatokanayo na chunusi na pia dawa ya kuondoa chunusi. Ama mafuta yatakayofanya ngozi yako ing'ae bila ya kujichubua.
Tafadhali piga 0752976792
Ubarikiwe sana.

Dawa hii bado ipo na imesaidia wengi..ukihitaji nitafute.
 
Habari ya jioni wanaJF. Naomba radhi kwa kuchelewa kujibu maswali. Dawa bei yake ni Tsh 30,000..
Techman, tafadhali nipigie tuwasiliane.
Nimeweka na picha ya dawa.
Nakutakia jioni njema. Ubarikiwe

Nani kawapa ruksa ya kutumia jina langu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom