fundiaminy
JF-Expert Member
- Jun 4, 2009
- 355
- 51
Unajua ukitaka kumtishia mschana wa kichina mwambie ana ugonjwa wa SARS.ukitaka kumtishia mschana wa kikenya muambie ana UKIMWI..mschana wa kiamerica utamshtua ukimwambia anaugua CANCER..na mwisho ukitaka kumtishia mschana wa kibongo....muambie huna HELAAA!!