Jinsi ya kumsaidia mtu anayefika kileleni mapema

Jinsi ya kumsaidia mtu anayefika kileleni mapema

hahahahahh....tehtehtehtehh..uwiiiiiii...JF (MMU) ni stress free nimecheeeeeeeka kama chizi jamani.ila mtoa mada nahisi alikuwa anataka kujua mtazamo wa wanaume kuhusu kupekenyuliwa...sidhani kama wanawake hii njia inawahusu..
 
Nilikuwa najiuliza inawezekanaje mtu anapigwa shoka la kichwa na mwenza...kama ndio kupekenyuliwa kabisa..aaah shoka lazima.

hahahahh...na yeye alikuwa anampa 1st AID ya kuchelewa kufika huko kwenye kilele cha mlima bila kujua kwamba shoka litamuhusu..
 
Daaaaah....
Hii dunia ina mambo mengi sana.
Cha kusikitisha tutaiacha hapa hapa na mambo yake mengi.
 
hahahahahh....tehtehtehtehh..uwiiiiiii...JF (MMU) ni stress free nimecheeeeeeeka kama chizi jamani.ila mtoa mada nahisi alikuwa anataka kujua mtazamo wa wanaume kuhusu kupekenyuliwa...sidhani kama wanawake hii njia inawahusu..

Wote inawahusu sema wanaume wamekua wagumu kupokea hii tiba m'badala.
 
Wanajamii kuna tatizo LA kuwai kufika kilele kwa baadhi ya watu, na najua watu wengi wamewai kusikia.

Inawezekana ikawa ni ugonjwa au matatizo ya kisaikolojia.

Kuna njia ya kuwasaidia watu hao awe me au ke njia inawasaidia wote bila athari yoyote.

Njia hiyo ni kumtanua makalio pindi unapoisi anakaribia kufika kileleni.
Yaani kama mume ndio yuko juu pitisha mikoni mgongoni kwakwe kisha shika makalio yke mpenyue ili katikati ya mfereji WA Suez iingie hewa ya kutosha.Na kwa mke njia ni hiyohiyo.

Inapoingia hewa katikati ya makalio itampunguzia uwekano WA kufika kileleni na kuchukua adi dakika 20 kuanza upya hali ya kufika kileleni, unaweza kurudia rudia ukiitaji.

Njia hii ni sahihi na haina madhara yoyote ni technic tu wakati kufanya mwenza wako asijue kama umempenyua makusudi.

NB.
Usitumie nguvu nyingi kupenyua ayo makalio asije kukunyea mpenzi wako ni taratibu kimahaba.
Nimechekaje..!!? Lkn mtoa mada hapa lazima kati ya mambo mawili moja linakuhusu!
1-Ulikuwa na tatizo hilo na ukalitatua kwa njia hii.
2-km siyo hiyo sababu ya 1,basi wewe kwa 100% unahusika na 0713.
 
Nimechekaje..!!? Lkn mtoa mada hapa lazima kati ya mambo mawili moja linakuhusu!
1-Ulikuwa na tatizo hilo na ukalitatua kwa njia hii.
2-km siyo hiyo sababu ya 1,basi wewe kwa 100% unahusika na 0713.

Hakuna ata moja kati ya hayo unayoyaisi ambalo liliwai kunigusa.
Ni sanaa , ucheshi na kujua mawazo ya watu!
 
aisee upekenyuliwe suez canal ili iingie hewa wakati huko ndo pa kutokea hewa!!!! wacha utani aiseee...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom