Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Hapa haijarishi anakudai shilingi ngapi ukifata haya ata kama anakudai lazima akukopeshe tena.
1:Mjengee uaminifu hapa ni kwamba jaribu kumkopa na kumlipa mara kwa mara then mwisho wa siku mkope alafu mkope tena lazima akupe tu.
2:Mlipe nusu ya deni lake analokudai alafu kaa siku chache then mkope tena lazima akupe.
3: Usimkimbie kwa sababu ya deni la mwanzo analokudai cha muhimu
mchangamkie tu ili asione tofauti yeyote then mkope tena.
4:Kila mtu anaitaji kusifiwa kwa kitu furani alichonacho jaribu kumsoma na kuanza kumsifia mfano kama wewe ni mwema sana, ukiwa unapiga nae story then mwisho wa siku mkope tena.
Hayo ni machache tu kuna njia nyingi za kufanya ili uweze kumkopa tena mtu anaekudai.
1:Mjengee uaminifu hapa ni kwamba jaribu kumkopa na kumlipa mara kwa mara then mwisho wa siku mkope alafu mkope tena lazima akupe tu.
2:Mlipe nusu ya deni lake analokudai alafu kaa siku chache then mkope tena lazima akupe.
3: Usimkimbie kwa sababu ya deni la mwanzo analokudai cha muhimu
mchangamkie tu ili asione tofauti yeyote then mkope tena.
4:Kila mtu anaitaji kusifiwa kwa kitu furani alichonacho jaribu kumsoma na kuanza kumsifia mfano kama wewe ni mwema sana, ukiwa unapiga nae story then mwisho wa siku mkope tena.
Hayo ni machache tu kuna njia nyingi za kufanya ili uweze kumkopa tena mtu anaekudai.