What happens ni kwamba Windows inafungua text-to-speech conveter( program inayobadilisha maneno kuwa sauti) halafu inasoma yale maneno "hello". Ukitaka kuhakikisha, pale kwenye "hello" andika neno lolote la kingereza halafu save kwa jina lolote (ila umalizie na .vbs) kwa mfano Givenality.vbs halafu fungua hilo file. Kama ina jinsia does it mean INAZAA? I'm just joking Sharo. Try it!
Yangu nahisi ni shoga, sauti haileweki kike au kiumeni, thanx i have tried with my wife's kaona kaolewa genius.
hakyamama wakuu siamini kama laptop yangu jike aisee. daah,ngoja niitafutie dume la mbegu